Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
HabariLeo ni gazeti dada la Uhuru! Mwandishi wa hizi Babari ni mlevi wa Wanzuki aliyekubuu! CCM inajiokoteza vijikashfa vya kuwachafua viongozi wa CHADEMA!Mkuu naona leo gazeti limeamka vibaya na Dr Slaa na inawezekana, sina uhakika kuna msukumo wa kisiasa nyuma yake.
Halafu mbona habari yenyewe inatoka ktk magazeti ambayo ni ant Chadema tu ?
Kwanza ungetuambia hiyo ahadi aliyoitoa tarehe yake ya mwisho --dead line ni lini ndio tupande msingi wa kumtuhumu Dr Slaa. Bila hilo hatuna haki hiyo. Unajuaje kama amepanga kutimiza ahadi hiyo mwezi Nov 2012?