Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Mmmh kwahiyo hizo 5M toka kwa Sabodo, alishazipata huyu Mama au bado hazijamfikia?
Soma vizuri post yangu!
Mmmh kwahiyo hizo 5M toka kwa Sabodo, alishazipata huyu Mama au bado hazijamfikia?
AIBU aibu watu kupenda Makamera, maflash na kukaa nyuma ya vinasa sauti mradi uonekane mwenye uchungu kumbe Siasa tu
Hakuna haja ya kutoa ahadi ww toa pole tutakuona
Kwani hao watoto/mtoto alikuwa anadaiwa ada ya shule wakati Marehemu yupo hai?
Maana sielewi kwa nini alie badala ya kukaa chini na kumwombea Dr Slaa baraka.
Kwani alimwambia lini atamsomesha? Huyo mtoto yupo nyumbani hana shule? Si amepokea pesa juzi kama kweli anadhamini na anahitaji mtoto aende shule si atumie hizo?
Anataka apewe pesa then atie mfukoni pia? Dr Slaa labda anashughulikia plan ya kusaidiaje, labda kufungua acoount ya pesa zitoke humo direct kwenda shule hapo baadae.
Ok nisaidieni kujua, huyo mtoto haendi shule now? Kwani ni makosa Dr kutaka saidia? Mie nilivyosomaga niliamini ni baadae labda from next year ndo atasaidia au baadae zaidi. Wewe mama hii inakuvunjia heshima as wengine watakimbia kukupa ahadi. Kama kuna mtu mwingine kasema atakusaidia basi usitumie kuharibia Chadema kuongoza.
Umeshindwa kumtafuta simuni kama una shida?
Nimesikia kupitia uchambuzi wa magazeti kwamba Mjane wa Marehemu Daud Mwangosi analilia rambirambi alizoahidiwa na Dr. Slaa kwenye msiba wa mme wake. Anwalilia waandishi wamsaidie kupata hizo rambirambi toka kwa Dr. Slaa.
Kumbe kutekeleza ahadi kazi kweli kweli!
Kitu chochote ambacho si hulka yako kukifanya inakuwa shida,Dr Slaa hana tabia ya kuhudhuria misiba na kutoa rambirambi kwa wafiwa msimlaumu wana JF.Kama ahadi ya mtu mmoja anashindwa kuitimiza je ya watanzania millioni arobaini ataiweza?
Source ya habari hii ni gazeti la HABARI LEO! Sisi CHADEMA hatuliamini kama chanzo cha kuaminika cha habari!
Walizichakachuaje picha za CUF Arusha? yaani cuf ilikuwa na watu wachace wao wakaonyesha wengi? au ilikuwa na watu wengi wao wakaonyesha wachache? vyote hivyo ni kuchakachua.na au hawakuonyesha kabisa,kama ndivyo ni blog gani walifanya vizuri kwenye tukio la cuf arusha??
Suala linabaki kuwa ametekeleza ahadi au ameitelekeza familia kwa alichoahidi?
Kwa hiyo unakubali kuwa Dr kateleza tuanze kuangalia na upande wa Mwandyosa au sio?Hilo gazeti limesemaje kuhusu ahadi ya Mwandosya. Ameshaitekeleza?
Mmmh kwahiyo hizo 5M toka kwa Sabodo, alishazipata huyu Mama au bado hazijamfikia?
Ahadi kazi kweli
kutekeleza..hata juzi kule Arusha kuna mjane wa marehemu aliyafariki
kwenya vurugu za Arusha alililamika kwenye mkutano wa CUF kwamba ahadi
alizoahidiwa na baadhi ya wanasiasa hazikutimizwa..sumu ya siasa ni
ahadi za jazba!!!zinaweza zikakuvunjia heshmaa
Soma vizuri post yangu!
Mkuu Mungi mimi nimesikia tu kwenye magazeti mjane akipiga mayowe. Mkuu ule msiba mimi naona kama ulifanywa wa kisiasa. Siku hizi Tanzania tunageuka taratibu kuwa kama wakenya. Wakenya siasa ni kila mahala iwe msibani, kanisani ama smikitini ni siasa kwa kwenda mbele. Msiba wa mwangosi ulifanywa wa kisiasa na matokeo yake ndiyo hayo yanakuwa ya kisiasa.Mkuu mheshimiwa sana Kimbunga, imekuwaje mpaka unapost thread isiyo na mashiko? Hata msiba umekuwa siasa?
Ungeelezea Dr. Slaa aliahidi nini, manake kama ni kumsomesha mtoto huwezi kukurupuka hivyo bana!
Kitu chochote ambacho si hulka yako kukifanya inakuwa shida,Dr Slaa hana tabia ya kuhudhuria misiba na kutoa rambirambi kwa wafia msimlaumu wana JF.
Nimesikia kupitia uchambuzi wa magazeti kwamba Mjane wa Marehemu Daud Mwangosi analilia rambirambi alizoahidiwa na Dr. Slaa kwenye msiba wa mme wake. Anwalilia waandishi wamsaidie kupata hizo rambirambi toka kwa Dr. Slaa.
Kumbe kutekeleza ahadi kazi kweli kweli!