Mshindo
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 478
- 186
Bwana Kimbunga basi ukasikia tu kwenye uchambuzi wa magezeti,kabla hata hujalisoma hilo gazeti ukajua kilichomo ndani kwa kirefu ukaja na thread "Kumbe kutekeleza ahadi kazi: Mjane wa Mwangosi alia na Slaa". Aisee!
Pamoja na kuwa gazeti lenyewe ni "Habari leo", ukisoma bado huwezi onesha mahali ambapo mjane wa watu "anamlilia" Dr. Slaa; hakuna mahali panapoonesha kuwa wengine wote walioahidi wamekwishatekeleza; hakuna mahala popote panapoonesha kuwa ahadi ya Dr. Slaa ni overdew labda na mtoto amefukuzwa shule au amepitiliza umri wa kwenda shule; hakuna mahala popote inapoonesha mjane alijaribu kutafuta mawasiliano na Dr. Slaa bila mafanikio (Seriously kwa nafasi yake mjane asingeshindwa kupata kitu so "public" kama namba ya ktibu mkuu taifa wa chama kama CHADEMA!).
Nisingeshangazwa kama thread ingeanzishwa na hawa jamaa wengine hawa akina Ritz and co. But you Kimbunga ...? Too low broda!!
Pamoja na kuwa gazeti lenyewe ni "Habari leo", ukisoma bado huwezi onesha mahali ambapo mjane wa watu "anamlilia" Dr. Slaa; hakuna mahali panapoonesha kuwa wengine wote walioahidi wamekwishatekeleza; hakuna mahala popote panapoonesha kuwa ahadi ya Dr. Slaa ni overdew labda na mtoto amefukuzwa shule au amepitiliza umri wa kwenda shule; hakuna mahala popote inapoonesha mjane alijaribu kutafuta mawasiliano na Dr. Slaa bila mafanikio (Seriously kwa nafasi yake mjane asingeshindwa kupata kitu so "public" kama namba ya ktibu mkuu taifa wa chama kama CHADEMA!).
Nisingeshangazwa kama thread ingeanzishwa na hawa jamaa wengine hawa akina Ritz and co. But you Kimbunga ...? Too low broda!!
Last edited by a moderator: