Kupima UKIMWI si mchezo hasa kama hakuna maandalizi.Nikuwa nafanyakazi shirika la umma ukabuniwa utaratibu wa kupima afya nakwambia ilikuwa mbinde kati ya wafanyakazi 300 ni wafanyakazi 40 tu walijitokeza kupima afya bila kulazimishwa, ikabidi CEO atwange memo ya kulazimisha wafanyakazi wapime afya.Wafanyakazi wakakubali shingo upande lakini hakuna alisubuti kuulizia majibu ?.
Siku hizi midume inapima UKIMWI kupitia wake zao wajawazito hakuna anayekubali kupima kwa hiyari ? .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.