Askari wa miguu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 339
- 118
Odemba alivuma sana enzi zake!
dah kweli dada ode kazeeka!
Odemba alivuma sana enzi zake!
Odemba alivuma sana enzi zake!
Lazima kaitoa u-turn, Odemba nae aliolewa na mudhungu?Utakuwa umesoma habari hii u-turn, vipi atoke nae kwenye keshamdiss kile kibabu chake ambacho hakina meno?
Mbona kwenye hii picha kanye haonekani kuwa hata na muda na odemba,yaani ni kama ametokea kwa bahati mbaya.
Dada zetu kwa kuoewa na wadhungu sikuhizi imekua fashion. Sio mbaya ila waache kuolewa na wazee.
naskia kanye alimuomba odemba kucheza..alikuwa buzy kucheza na odemba mpaka kim akaona wivu na kwenda kumtoa kanye kwa odembaDada amejitahidi sana kuuweka mwili wake vizuri.