Kumbe Jk Bado Mtu wa Watu!

sasa ataenda kumzika Bingu wa Mutharika au Kanumba?? maana kazi yake sio kupunguza mfumuko wa bei wala makali ya maisha ya maisha. Haya tukishazika ndi maisha yameisha kwetu!!!
 
Mpende msipende dogo jk ana kismat cha kupendwa nguvu yote ya kumfanya achukiwe lakin wapi? Labda mtishie kuwatenga kwny nyumba za Ibada wakimshika mkono maana sku iz ndo styl!
 
JK si kipenzi cha watu bali hutumia matukio madogo madogo kupata sifa asizostahiki. Kuhudhuria misiba si jukumu la rais. Heri angeshughulishwa na yale yanayowakwaza watanzania hata kuwaua kama umaskini wengi tungemuelewa. Sijawahi kuona rais aliyefanikiwa kuendeleza watu wake kwa kuhudhuria misiba au kufanya ziara nje. Hivyo, huna sababu ya kujihadaa kusema kuwa JK ni kipenzi cha watu. Angekuwa kipenzi cha watu angefanya kama Ian Khama wa Botswana ambaye huenda mitaani peke yake na kurejea nyumbani. Kama ni kipenzi cha watu mbona amejizungushia walinzi? Kama kuna watu anawapenda si wengine bali mafisadi na mastaa uchwara wa Bongo. Kwa uzito wa rais, hakuwa na sababu ya kupoteza muda wa umma kwenda kwenye msiba wa Kanumba. Waziri wa vijana utamaduni na michezo alitosha. Kama hakutosha basi mwanae alitosha.
Wala kuwa kipenzi cha watu haiko hivyo unavyotaka kulazimisha iwe,ingekua hivyo basi mpaka leo Ghaddafi angekua kiongozi wa Libya!
 
JK si kipenzi cha watu bali hutumia matukio madogo madogo kupata sifa asizostahiki. Kuhudhuria misiba si jukumu la rais. Heri angeshughulishwa na yale yanayowakwaza watanzania hata kuwaua kama umaskini wengi tungemuelewa. Sijawahi kuona rais aliyefanikiwa kuendeleza watu wake kwa kuhudhuria misiba au kufanya ziara nje. Hivyo, huna sababu ya kujihadaa kusema kuwa JK ni kipenzi cha watu. Angekuwa kipenzi cha watu angefanya kama Ian Khama wa Botswana ambaye huenda mitaani peke yake na kurejea nyumbani. Kama ni kipenzi cha watu mbona amejizungushia walinzi? Kama kuna watu anawapenda si wengine bali mafisadi na mastaa uchwara wa Bongo. Kwa uzito wa rais, hakuwa na sababu ya kupoteza muda wa umma kwenda kwenye msiba wa Kanumba. Waziri wa vijana utamaduni na michezo alitosha. Kama hakutosha basi mwanae alitosha.

Sio sababu ingekuwa ni kweli unachokisema ghadaffi mpaka leo angekuwepo madarakani!
 
hebu ajarb ku step down halafu agombee tena 2one. Kama hajapata kula yake mama salma na rz1 tu. Najua ht wewe hutamchagua. Kwl mzaramo yupo kwny sanaa
 
Unajua kinacholeta shida Si Kujulikana na WATU WENGI bali KUJULIKANA NA WATU GANI!!
Kwa mfano:
Tofauti ya UMAARUFU wa KANUMBA na KIKWETE:
.Hawa Wote wamejulikana na watu wengi,Kama huamini,ULIZA mtu yoyote aliyefuatilia Taarifa ya Habari kwenye Mazish ya mwanasanaa maarufu!
.TOFAUTI KUBWA ya Jakaya na KANUMBA(RIP) ni TAALUMA kwani:
1:JAKAYA ni MWANASIASA.
2.KANUMBA(RIP) ALIKUWA MUIGIZAJI!
.Ukipata TOFAUTI HIZI MBILI utakuta:
1/UMAARUFU NA MAFANIKIO YA KANUMBA na wasanii WENGINE Unapimwa kwa WINGI WA WATU!
2.UMAARUFU wa wanasiasa unakisiwa na IDADI ya watu Wanao KUCHEKEACHEKEA bali mwisho wa siku KURA ZITAAMUA!
.Kwa Mtazamo wangu,KANUMBA amekufa akiwa AMEFANIKIWA SANA ila watu wengi duniani akiwepo JAKAYA MRISHO KIKWETE bado HATUJAFANIKIWA na ni kazi kwetu Kusali ili mwisho wa siku MUNGU atufanikishe.
 
Aibu tupu, msibani meno yote nje manake nn??

Jk chizi.
sio kidogo. Kwenye msiba unaenda ku stage a photo op ya kupeana high five. Msiba hauna mwenyewe huu, watu wamecheki wakasikia sijui babaake ana bifu na marehemu, mama wakambo kamtesa, na Mama Mzazi yuko ndani ndani Bukoba huko hajiwezi wakaona ok hapa ndio pa kupigia picha za kisiasa. Nimemwona mtu mmoja anajiita Mkuu wa chama cha wasanii Tanzania anafanya interview kwenye msiba (a new trend if you ask me, so tacky) akadai kama Mama ya Marehemu akikubali mapendekezo yao basi wangependa wamzike Dar-es-Salaam, Jummanne. Mtu akikwambia anaomba umzike marehemu Dar mana yake anataka umrahisishie kazi, hana muda wa kuja huko Bukoba huko kuzika. Mama Mtu kwao Bukoba, huyo Mkuu wa Wasanii atakua anakwenda hapo makaburini Dar kupalilia kaburi au atakuwa anamtumia tiketi Mama Kanumba kuja kuona kaburi la mwanae?

Watanzania kweli wamejaa ugali vichwani, msibani mnakwenda kushangilia li raisi limekuja ku hijack msiba usio na mwenyewe.
 
sio kidogo. Kwenye msiba unaenda ku stage a photo op ya kupeana high five. Msiba hauna mwenyewe huu, watu wamecheki wakasikia sijui babaake ana bifu na marehemu, mama wakambo kamtesa, na Mama Mzazi yuko ndani ndani Bukoba huko hajiwezi wakaona ok hapa ndio pa kupigia picha za kisiasa. Nimemwona mtu mmoja anajiita Mkuu wa chama cha wasanii Tanzania anafanya interview kwenye msiba (a new trend if you ask me, so tacky) akadai kama Mama ya Marehemu akikubali mapendekezo yao basi wangependa wamzike Dar-es-Salaam, Jummanne. Mtu akikwambia anaomba umzike marehemu Dar mana yake anataka umrahisishie kazi, hana muda wa kuja huko Bukoba huko kuzika. Mama Mtu kwao Bukoba, huyo Mkuu wa Wasanii atakua anakwenda hapo makaburini Dar kupalilia kaburi au atakuwa anamtumia tiketi Mama Kanumba kuja kuona kaburi la mwanae?

Watanzania kweli wamejaa ugali vichwani, msibani mnakwenda kushangilia li raisi limekuja ku hijack msiba usio na mwenyewe.

Hii yako ni kauli ya kilevi tu,wana jf naomba mumpuuze jamaa atakua na mning'inio,aliekwambia mama yake kanumba anaishi bukoba nani?mbona huyo mama mzazi mama zake wadogo na ndugu wengine wamehojiwa na tv zimeonyesha mpaka babake kahojiwa wewe uko wapi?

Mama yake kasema yeye ni mkazi wa Dar,Bukoba alienda kumuuguza bibi yake Kanumba na waliwasiliana na Kanumba mchana wa siku ya kifo chake akimtaka mama yake arudi kabla ya alhamisi kwani siku hiyo alhamisi keshokutwa yeye kanumba anatarajiwa kusafiri kwenda marekani na visa tayari anayo hivyo angependa aonane na mama yake kabla ya safari,na mama akamuhakikishia angekua Dar leo j3!
 
sio kidogo. Kwenye msiba unaenda ku stage a photo op ya kupeana high five. Msiba hauna mwenyewe huu, watu wamecheki wakasikia sijui babaake ana bifu na marehemu, mama wakambo kamtesa, na Mama Mzazi yuko ndani ndani Bukoba huko hajiwezi wakaona ok hapa ndio pa kupigia picha za kisiasa. Nimemwona mtu mmoja anajiita Mkuu wa chama cha wasanii Tanzania anafanya interview kwenye msiba (a new trend if you ask me, so tacky) akadai kama Mama ya Marehemu akikubali mapendekezo yao basi wangependa wamzike Dar-es-Salaam, Jummanne. Mtu akikwambia anaomba umzike marehemu Dar mana yake anataka umrahisishie kazi, hana muda wa kuja huko Bukoba huko kuzika. Mama Mtu kwao Bukoba, huyo Mkuu wa Wasanii atakua anakwenda hapo makaburini Dar kupalilia kaburi au atakuwa anamtumia tiketi Mama Kanumba kuja kuona kaburi la mwanae?

Watanzania kweli wamejaa ugali vichwani, msibani mnakwenda kushangilia li raisi limekuja ku hijack msiba usio na mwenyewe.

Tehe tehe tehe...the way the cookie crumbles because of Kanumba the great.....
 
Mtoa mada una tatizo la Msingi sana,Kwamba wewe kila anayeku challenge ni CHADEMA.Too low
 
Back
Top Bottom