Mtu Mzima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 394
- 124
Kaka / Dada nikusahihishe kidogo kama huto mind, ni kweli management ya Bilila, Zamani na Kilimanjaroi imebadilika na sio rahisi kwa new management kutumia jina la previous management, managemet name inalipiwa tena maelfu ya dola kwa mwezi, huezi ktumia logo ya kempiski bila kibali cha kempiski, vile vile nasisitiza mmiliki ni ASB Tanzania Ltd na sio Kikwete, Kikwete amepewa milki ya Tanzania na waTanzania kwa mujibu wa Katiba, vinginevyo ushahidi utimie
Wewe ndio Kikwete?. Mbona unasisitiza sana kwamba Kikwete sio mmiliki wakati huo huo kwenye post yako ya kwanza umesema atafutwe mmiliki wa ASB Tanzania Ltd, ina maana wewe pia humfahamu.
Hiyo ASB Tanzania Ltd inayomilki hizo hotels bado Kikwete anaweza kuwa na share nyingi au hata 100%...