Mkuu Mtambuzi huyu Jamaa anapenda sana mambo ya Jeshi .. yeye anaona bado yupo Jeshini na Gwanda kwake bado anazo!
Hii hapa ni juzi juzi tu mwaka huu mwezi wa Machi alikuwa sehemu moja inaitwa Mbale ... hapo kabeba bunduki kabisa eti yupo kwenye mapambano ya kumsaka Kony!