Mushobozi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2007
- 543
- 103
je swali linarudi pale pale bwana Undi mchupo; ni kweli kuwa hatuna arbitrators hapa Tanzania isipokuwa Marmo.
mimi ninajua wapo tu kwa habali nilizozipata kutoka kwa jamaa yangu. pia naona Mwehozi kanijibu kama nilivyotaka kufanya.
pia katika swala hili, wanasheria wamependelea sana hii kazi yaaniAlternative Dispute settlements.
hii inamaana kuwa unakuta mwanasheria kabobea katika shera za mikataba na aridhi, sasa anataka kuchukua hiyo. maana licha ya masomo ya fani hiyo, bado legal reasoning yaani jurisprudence inahitakiwa kama fani nyingine wanavyotakiwa kuwa na angalau Falsafa katika usuluhishi.
sasa jambo hili wanasheria wamekuwa wakiipendelea sana, na ndio maana ndugu yangu huyo, Yahaya hamadi alishangaa sana ( ref. to Mwehozi Supra).
mimi ninajua wapo tu kwa habali nilizozipata kutoka kwa jamaa yangu. pia naona Mwehozi kanijibu kama nilivyotaka kufanya.
pia katika swala hili, wanasheria wamependelea sana hii kazi yaaniAlternative Dispute settlements.
hii inamaana kuwa unakuta mwanasheria kabobea katika shera za mikataba na aridhi, sasa anataka kuchukua hiyo. maana licha ya masomo ya fani hiyo, bado legal reasoning yaani jurisprudence inahitakiwa kama fani nyingine wanavyotakiwa kuwa na angalau Falsafa katika usuluhishi.
sasa jambo hili wanasheria wamekuwa wakiipendelea sana, na ndio maana ndugu yangu huyo, Yahaya hamadi alishangaa sana ( ref. to Mwehozi Supra).