Kumbe Halima Mdee ni breki ya Pinda.......................

halima: nchi imewashinda wazeel tuachieni vijana!
gadui: ni kweli, teh teh teh
 
Nampenda sa Halima, natamani ningekuwa Pinda japo niushke mkono. Kama Halma unapita hapa Jf, sikia kilio changu. Nakupenda sana.
 
Jamaume moja huko kiteto limejikuta likiambulia mvua tano baada ya kufanya jaribio la kumbaka mtoto wa shamngai yake ambaye alidaiwa akitokea bafuni kuingia ndani akiwa amevalia kanga lilishindwa kuvumilia na kuvamia chumbana kumngangania hatimaye binti alichoropoka akiwa uchi wa mbuzi hatimaye kusaidiwa na majirani kupatiwa nguo. mwanajamii mwenzangu hilo nalo walionaje..

Hilo linahusiana vipi na mada hii.
 
Dhahabu zina chimbwa kwetu, sasa zivaliwe na nani, kutwa kulalamika wawekezaji wanatuibia, haya sasa hata tukivaa wenyewe bado ni shida heee tujielewe saingine.
 
Mkuchika mnafiki tu, cheki anavyocheka kinafiki nafiki. Yeye na mwenzake Pinda walijifanya kuwatetea madiwani waasi, wakagaragazwa wote. Halima anawacheka akimwabia achana na mambo ya CDM wewe !! Sisi ni watu makini, Sio kina nape.
 
04_11_t4js4x.jpg
HOW AMUSING! The Prime Minister, Mr Mizengo Pinda (right), enjoys a light moment with Kawe MP (CHADEMA), Ms Halima Mdee (centre) and Minister of State in the Prime Minister’s Office (Regional Administration and Local Government), Mr George Mkuchika, at Bunge grounds in Dodoma on Wednesday. (Photo by PMO)


muchika: pinda maliza basi na mimi nichukue kiganja.
pinda: nasikia umeme unapita kwe kwe kwe
 
Back
Top Bottom