Absolutely!Hahahahah! Mfano kwa akina Mwigulu Nchemba hiyo kitu inaliwa kama kuku!!
75% ya Watanzania wa DIG kiti moto,
bila kujali dini au rangi
65% Wamesha kula Mbwa bila kujua,
akidhani mbuzi,
51% Wamesha wahi kula Punda wakidhani,
Steak ya ng'ombe
40% wameshakula nyama ya Kima na ngedere.
Source Utafiti wangu wa miaka 30.
Mna Shangaa nini? CKN!
75% ya Watanzania wa DIG kiti moto,
bila kujali dini au rangi
65% Wamesha kula Mbwa bila kujua,
akidhani mbuzi,
51% Wamesha wahi kula Punda wakidhani,
Steak ya ng'ombe
40% wameshakula nyama ya Kima na ngedere.
Source Utafiti wangu wa miaka 30.
Mna Shangaa nini? CKN!
Mkuu hizi data za kweli au unatutisha tu?
pale kibaha picha ya ndege kuna jamaa alifikishwa mahakamani na kuhukumiwa baada ya kuthibitika pasipo kuacha shaka yeyote,,yeye alikuwa muuza nyama maarufu za bei na fuu hotelin na kwa mama ntilie,akidai za pori na kondoo na mbuzi,,,ila yeye alikua anauza nyama za mbwa,,,wanaogongwa na magari na wengine akiwakamata kwa njia mbalimbali,,,watu walikula sana,,,pia ukazushwa uvumi kuwa supu ya dog inaongeza cd4,wee watu walikula kwa hiari usiombe,,,maisha bwana,,,,,,,,,
Mkuu hizi data za kweli au unatutisha tu?
Unajua source zote za Nyama?
Wateja hotelini huagiza chakula, lini umewasikia wakitaka kujua source,
Nimewahi kula supu ya mbuzi mwenye mifupa mikubwa kama ya ng'ombe.
Nikawajia juu jamaa pale hotelini na kuwambia yule hakuwa mbuzi ninataka maelezo.
Mwishoe ili kuua so waliniambia ni kweli si mbuzi bali ni ng'ombe nyama yake inapikwa kwa mafuta ya mbuzi.
Nikiwa njiani msafiri mwenzangu akanitonya nakusema ilikuwa nyama ya Pundamilia.Ninalo?
Nyama ya ngedere na mbuzi tofauti yake ni kwamba ya mbuzi ina harufu.
PIG wote tunajua analiwa vipi.
75% ya soseji zote duniani ni 100% PIG
Watu wanakula soseji 90% ya soseji zina more than 20% ya nyama ya PIG.
Baken zinaliwa sana ni pig 100%
Nyama ya mbwa ikichanganganywa na ya mbuzi ikapikwa supu? Bila bila, hata hushituki.
Mmekula sana chips za mafuta ya Transformer kisha mnashangaa kula Haramu??
Hii ni moja ya gharama za umasikini.
Unajua source zote za Nyama?
Wateja hotelini huagiza chakula, lini umewasikia wakitaka kujua source,
Nimewahi kula supu ya mbuzi mwenye mifupa mikubwa kama ya ng'ombe.
Nikawajia juu jamaa pale hotelini na kuwambia yule hakuwa mbuzi ninataka maelezo.
Mwishoe ili kuua so waliniambia ni kweli si mbuzi bali ni ng'ombe nyama yake inapikwa kwa mafuta ya mbuzi.
Nikiwa njiani msafiri mwenzangu akanitonya nakusema ilikuwa nyama ya Pundamilia.Ninalo?
Nyama ya ngedere na mbuzi tofauti yake ni kwamba ya mbuzi ina harufu.
PIG wote tunajua analiwa vipi.
75% ya soseji zote duniani ni 100% PIG
Watu wanakula soseji 90% ya soseji zina more than 20% ya nyama ya PIG.
Baken zinaliwa sana ni pig 100%
Nyama ya mbwa ikichanganganywa na ya mbuzi ikapikwa supu? Bila bila, hata hushituki.
Mmekula sana chips za mafuta ya Transformer kisha mnashangaa kula Haramu??
Hii ni moja ya gharama za umasikini.