Marando afyatua kombora Jangwani
Alipotakiwa kufafanua walikiukaje maadili hayo Mhando alisema: Walikuwa hawazungumzi sera bali walikuwa wanatukana. Kama ulikuwa unafuatilia matangazo yetu utajua ni namna gani walivyokuwa wakitukana.
Hata hivyo, Mhando alisema baada ya kuwasiliana nao na kuwakumbusha juu ya makubaliano hayo walirejesha matangazo hayo hewani. Katika hotuba yake alisema kumfunga Amatus Liyumba pekee yake siyo dawa ya kumaliza ufisadi nchini, bali viongozi hao ndiyo wanaotakiwa kufungwa.
Alisema wamemfunga Liyumba ili waonekane kwa wananchi kwamba wanapiga vita ufisadi. "Jamani hivi fedha zote zilizoliwa pale Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ni Liyumba pekee yake aliyeziiba? Tunajua ametolewa kama mbuzi wa kafara," alisema Marando.
Source: Mwananchi and Marando Jangwani
Marando
"Tunajua Kikwete na edward Lowasa waliomba hela za uchaguzi kutoka kwa Mkapa akachote BOT"
My Take:
Hii Nchi inaliwa bila ya sisi kujua
Mtu anakaa madarakani kumbe ni mwizi? Kweli bado watanzania bado akili lala
Hapa pana kazi!Wewe peke yako ndio hujui haya yamesemwa sana kwenye viombo vya habari.
Nyambafuuuu tbc1..........................tunasubiri nini kumkamata kikwete na lowasa na kuwawajibisha?????????????
Kweli kuna watznzania nchi hii...au wote sio raia yaani ni wahamiajai kwa hiyo tuna uraia wa kuomba sio wa kuzaliwa........
Hapa pana kazi!
Mhando mtamuonea tu, yeye nae anatetea kitumbua chake! hana ujasiri wa kiume wa kuona nyeusi na kuiita nyeusi!
Chama Cha Majambazi!!! Kagoda, mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!! Amost 40 billion ila zikawasilishwa less than 10 billion? Si ndio mshutuko ukaanzia hapo? Hizo 30 billion zilienda wapi? Ubaya ni kwamba mnapokabidhiana kwenye chain hakuna maandishi hivyo kila mkono ambazo zilipita zilipigwa panga na hatimaye kufika mezani less than 10 b, kitu kama 5 hivi?!!!!! Main Contractor, RA!! Draw the dotted line to plot EL, RA, JK!!!!
nataka mjue EPA ni suala linaloshughulikiwa kama maswala mengine EPA,MIKATABA YA MADINI,RICHMOND, na mingine mnayoijua nyinyi WAPINZANI inashughulikiwa tena katika hili CCM AWAMU YA NNE HAITANII HATA KIDOGO......... KIKWETE ATAPITA TENA KWA KISHINDO halafu mutashaaaaaaaa...............
KWANZA MJUE TU LIUMBA SIO MHALIFU KATIKA EPA,LAKWAKE LILIKUWA BOT MAJENGO PACHA....nataka mujue hilo....kelele ni jadi yenu, kwani sikio la kufa halisikii dawa...... nyine ni wafa maji hamtaacha kutapatapa katu!
MIKATABA YA MADINI hamlisemi au kwa kuwa ZITTO KABWE NI MJUMBE katika hilo? au kwa kuwa limeshughulikiwa? kuweni na uzalendo wa kweli i mean true solidarity and intergrity
mzee MTEI ANAUZALENDO NA NCHI HI? nawakumbusha tu kidogo pale alipotibua BANK OF TANZANIA MIAKA ILE YA 1970Ss mpaka 1980s akakimbilia AMERICA, IMF NA KUKWAMISHA MPANGO MZIMA WA JINSI YA KUINUA UCHUMI WA NCHI YETU, ALILIFICHA FILE LA NCHI YAKE BILA HAYA NA AIBU, TU LISIJADILIWE NA UONGOZI WA JUU WA IMF, HAKUSITA AKAFANYA HIVYO MPAKA WORLD BANK,HUYO NDIO KIFIMBO WA CHADEMA, kwa kuwa KELELE JADI YENU,,, all de best
MWAMBIENI SLAA ANAPOPIGA KELELE ZA UFISADI AJEU NA HATA MZEE MTEI alikuwa FISADI NA BADO ANAENDELEA na UFISADI ndani ya chama chake yeye kama muasisi wa CHADEMA.
nataka mjue EPA ni suala linaloshughulikiwa kama maswala mengine EPA,MIKATABA YA MADINI,RICHMOND, na mingine mnayoijua nyinyi WAPINZANI inashughulikiwa tena katika hili CCM AWAMU YA NNE HAITANII HATA KIDOGO......... KIKWETE ATAPITA TENA KWA KISHINDO halafu mutashaaaaaaaa...............
KWANZA MJUE TU LIUMBA SIO MHALIFU KATIKA EPA,LAKWAKE LILIKUWA BOT MAJENGO PACHA....nataka mujue hilo....kelele ni jadi yenu, kwani sikio la kufa halisikii dawa...... nyine ni wafa maji hamtaacha kutapatapa katu!
MIKATABA YA MADINI hamlisemi au kwa kuwa ZITTO KABWE NI MJUMBE katika hilo? au kwa kuwa limeshughulikiwa? kuweni na uzalendo wa kweli i mean true solidarity and intergrity
mzee MTEI ANAUZALENDO NA NCHI HI? nawakumbusha tu kidogo pale alipotibua BANK OF TANZANIA MIAKA ILE YA 1970Ss mpaka 1980s akakimbilia AMERICA, IMF NA KUKWAMISHA MPANGO MZIMA WA JINSI YA KUINUA UCHUMI WA NCHI YETU, ALILIFICHA FILE LA NCHI YAKE BILA HAYA NA AIBU, TU LISIJADILIWE NA UONGOZI WA JUU WA IMF, HAKUSITA AKAFANYA HIVYO MPAKA WORLD BANK,HUYO NDIO KIFIMBO WA CHADEMA, kwa kuwa KELELE JADI YENU,,, all de best
MWAMBIENI SLAA ANAPOPIGA KELELE ZA UFISADI AJEU NA HATA MZEE MTEI alikuwa FISADI NA BADO ANAENDELEA na UFISADI ndani ya chama chake yeye kama muasisi wa CHADEMA.
Inauma sana!
Inauma sana!
Inauma sana!
Inauma sana!
Inauma sana!
Inauma sana!
Inauma sana!
jamani cha kufanya ni kuandika hii sms na kuisambaza kwenye simu haraka iezekanavyo.
nataka mjue EPA ni suala linaloshughulikiwa kama maswala mengine EPA,MIKATABA YA MADINI,RICHMOND, na mingine mnayoijua nyinyi WAPINZANI inashughulikiwa tena katika hili CCM AWAMU YA NNE HAITANII HATA KIDOGO......... KIKWETE ATAPITA TENA KWA KISHINDO halafu mutashaaaaaaaa...............
KWANZA MJUE TU LIUMBA SIO MHALIFU KATIKA EPA,LAKWAKE LILIKUWA BOT MAJENGO PACHA....nataka mujue hilo....kelele ni jadi yenu, kwani sikio la kufa halisikii dawa...... nyine ni wafa maji hamtaacha kutapatapa katu!
MIKATABA YA MADINI hamlisemi au kwa kuwa ZITTO KABWE NI MJUMBE katika hilo? au kwa kuwa limeshughulikiwa? kuweni na uzalendo wa kweli i mean true solidarity and intergrity
mzee MTEI ANAUZALENDO NA NCHI HI? nawakumbusha tu kidogo pale alipotibua BANK OF TANZANIA MIAKA ILE YA 1970Ss mpaka 1980s akakimbilia AMERICA, IMF NA KUKWAMISHA MPANGO MZIMA WA JINSI YA KUINUA UCHUMI WA NCHI YETU, ALILIFICHA FILE LA NCHI YAKE BILA HAYA NA AIBU, TU LISIJADILIWE NA UONGOZI WA JUU WA IMF, HAKUSITA AKAFANYA HIVYO MPAKA WORLD BANK,HUYO NDIO KIFIMBO WA CHADEMA, kwa kuwa KELELE JADI YENU,,, all de best
MWAMBIENI SLAA ANAPOPIGA KELELE ZA UFISADI AJEU NA HATA MZEE MTEI alikuwa FISADI NA BADO ANAENDELEA na UFISADI ndani ya chama chake yeye kama muasisi wa CHADEMA.