Kumbe Dowans ya United Arab Emirates siyo Costa Rica!- (Document) You decide

Kuna tatizo lipi Dowans ikiwepo UAE, Costa Rica, Tanzania na kwingine kokote?

Tatizo siyo mahali ilipo/au kuanzishwa suala ni uhalali wake (kisheria) wa kupata hayo malipo,na pia watu walioingia hiyo mikataba ni kweli waliliwakilisha Taifa au binafsi? na kama ni binafsi kwanini hawachukuliwi hatua kwa kuliingiza Taifa katika deni hilo? je, hakuna ushahidi kuhusu hili au mamlaka zinazohusika zimekuwa-comprised..?
 
Tatizo siyo mahali ilipo/au kuanzishwa suala ni uhalali wake (kisheria) wa kupata hayo malipo,na pia watu walioingia hiyo mikataba ni kweli waliliwakilisha Taifa au binafsi? na kama ni binafsi kwanini hawachukuliwi hatua kwa kuliingiza Taifa katika deni hilo? je, hakuna ushahidi kuhusu hili au mamlaka zinazohusika zimekuwa-comprised..?

Hebu tupe cv yako tuuone uhalali wako wa kuuliza uhalali wa malipo ya Dowans uliotolewa na Ma-judge wa ICC waliobobea katika nyanja zao ambao hata katika ndoto zako huwezi hata kuota chembe ya wakijuacho.

Hivi unawaona hao ma-judge wa ICC ni majuha?
 
JeyKey, hawa wana-tapatapa, wafamaji, hata wakiona pumba zinaelea wanataka waziwahi ziwaokoe. Hakuna moja baya alilonalo JK zaidi ya kupakaziwa mambo yasiyo na msingi, kichwa wala miguu.

Dowans wana kosa gani? Ukiwauliza hilo hamna mmoja mwenye jibu.
 
JeyKey, hawa wana-tapatapa, wafamaji, hata wakiona pumba zinaelea wanataka waziwahi ziwaokoe. Hakuna moja baya alilonalo JK zaidi ya kupakaziwa mambo yasiyo na msingi, kichwa wala miguu.

Dowans wana kosa gani? Ukiwauliza hilo hamna mmoja mwenye jibu.

hawa wamezoea kupakaziana, hawana huzibitisho wanaleta document za magumashi

Dowans ilikuwepo na itazidi kuwepo
 
Mwanakijiji umemvua nguo Technology kabisa ameonekana anakiwango cha juu kabisa cha Ujinga! Bora angenyamaza tu,inasikitisha sana unatumia jina zuri la Tecnology wakati wewe mwenyewe ni Mbumbu kabisa

hivi umewahi kukaa na kujiuliza ni kiasi gani cha muda watu (WA CCM) wanakitumia kufikiria juu ya maendeleo ya nchi (sustainable/organic growth) Vs jinsi ya kupata fedha za kuendeshea chama? ...na fedha za kuendesha chama ndiyo 'style' ya Kagoda, EPA, RICHMOND/DOWANS nk ambazo zinaishia mikononi mwa 'wageni' wachache hata hivyo na chama kuambulia makombo. Wangetumia hata 22% ya muda wao kufikiri juu ya nchi nina uhakika tungekuwa na maendeleo makubwa ikilinganishwa na sasa na umeme ungekuwa wa uhakika kwa kiwango kikubwa ukisambaa zaidi ya asilimia 55% ya waTZ
 
Swala la msingi ni lipi? Kuwa Dowans ipo UAE na Costa Rica na Tanzania?

Kinachogomba hapa sio Dowans kuwa Costa Rica, UAE au Tanzania.
Tatizo mikataba yenyewe ilivyosainiwa na Tanesco hata huelewi ni kampuni ipi inapaswa kufua umeme na kudai malipo kwa Tanesco.

Ni kweli mkataba ulifaulishwa kutoka Richmond kwenda Dowans SA (Costa Rica) Dec 2006 lakini hapa tunaona mkataba unaozungumzia Dowans (UAE), je lini mkataba ulifaulishwa kutoka Dowans - Costa Rica kwenda Dowans - UAE??

Hukumu ya ICC imem-award Dowans SA (costa rica) $64m, hatuoni kwamba Dowans (UAE) naye anaweza kudai malipo if at all this change of parties was made in March 2007??
 
Ah! kaachana na mvua zisije muunganisha Richmond/Dowans. Sasa amekuja na ushauri wa kuongeza mishahara hata kama inflation itafikia 100%. Ile kamati ya Ntukamazina taarifa zake aliondoka nazo na zipo Monduli, na ni huyu huyu aliagiza vijana wamshughulikie (Tucta) Mkoba kwa virungu na mabomu. Ni smart kapita uani na sasa yupo stejini.

Ona hii pesa alivyokula bila aibu,..halafu Marmo alikuwa akitetea
icon1.gif
Govt shells out 1.5bn/- for Thai artificial rains



Govt shells out 1.5bn/- for Thai artificial rains
Na Felister Peter
29th January 2010B-pepeChapaMaoni
Minister Philip Marmo
The government spent 1.5bn/- in its 2006/2007 budget on the artificial rain-making project which was suspended two years ago, Minister of State in the Prime Minister?s Office (Policy, Co-ordination and Parliamentary Affairs) Philip Marmo told the National Assembly on Wednesday.

He said before the project was cancelled the government had already spent a total of 1.5bn/- as the cost of experiments.

He said the money spent was mainly for hiring four airplanes, the cost of transporting imported equipment, allowances and transport costs for Thai rainmakers.

He was responding to a question from Chake Chake legislator Fatma Maghimbi (CUF) who wanted to know whether the project was successful; and if so, whether the government took efforts to take Tanzanian students to Thailand to study the technology.

He said the government never sent a single student to Thailand because it wasn?t an important project.

The idea of artificial rainmaking was conceived by then prime minister Edward Lowassa, when he visited Thailand in 2006 at a time when Tanzania was facing acute drought.

On the visit, Lowassa asked Thailand to introduce artificial rainmaking technology in the country.

The rain was to be made focusing on earmarked areas where there were special activities like agriculture and water harvesting for the production of electricity.

The first demonstration was set to be carried out in Usangu Basin in Mbeya, Iringa and Dodoma regions.


CHANZO: THE GUARDIAN
0 Maoni | Kuwa wa kwanza kutoa maoni

 
Back
Top Bottom