NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 407
Hii nimeikuta mtandaoni soma kwenye link hapo chini:
http://www.quicknek.com/jeunayafahamumadharayakutumiadeodorants?
http://www.quicknek.com/jeunayafahamumadharayakutumiadeodorants?
Mboga za majani na matunda.Unaweza kunitajia kitu kisicho na Madhara?
Kama hayajapandwa kwenye ardhi yenye kemikali za sumu. Unajua kinachokula kimetoka wapi??Mboga za majani na matunda.
Hayo unayajua wewe mkuu. Wewe unajua kila kinachochokuzunguka kimetoka wapi? Mimi Imani yangu tokea utoto Matunda na Mboga ni chakula salama na chenye kuleta nguvu na afya mwilini. Hayo mengine sihitaji kujua...peleka TBS au kwa Mkemia Mkuu.Kama hayajapandwa kwenye ardhi yenye kemikali za sumu. Unajua kinachokula kimetoka wapi??
Mboga za majani na matunda.
Mboga za majani na matunda.
Mboga za majani na matunda.
Hii nimeikuta mtandaoni soma kwenye link hapo chini:
http://www.quicknek.com/jeunayafahamumadharayakutumiadeodorants?
Mboga za majani na matunda.
Hilo nalo neno, cha msingi unaelewa kuwa soda na kabia vina kemikali, that's all. Kuliko asiyejuwa hivyo ukimwekea maji na soda achaguwe kipi bora atachagua soda!Tuombe Mungu atuepushe na haya madhara lakini tusijidanganye kuwa tunaweza kuepukana na madhara ya chemicals,ina maana mtoa mada we hata soda hunywi au ka-bia angalau kamoja kwa mwezi?
Mboga nyingi zinazouzwa Dar zinamwagiliwa na kuoshwa na maji taka, sewage! Nenda kule Sinza ukashuhudie; bonde la Kwa Remmy na nyuma ya Urafiki.