i like it brother! yaani watu wengi tuna elimu ya makaratasiTatizo ni watu kusomea mitihani badala ya kupata maarifa
yesUmewahi sikia profesa ni bilionea katika ulimwengu huu?
Mkuu comment yangu hii niliwahi kucomment bongo celebrity mwaka 2008, Topic ilikuwa kuhusu mr blue[/QUOTd
Du charles darwin bado yu hai? au wewe ni chalesi daluwini? jamaa amenukuu we unasema comment yako?