Huyu kibonge hapa naona basi atakuwa anagawa karibu nyama yote maana hivyo vitu anavyopakuliwa si kawaida.
Huwa najiuliza, sijui huyo Dada gorilla anaweza kulinganisha na dada gani hapa JF.
Ngoja niwaachie wanaume wafanya utafiti wa hapa JF ili waisivie mvua iliyo wanyeshea.
Huo utafiti kweli ni kiboko. Anyway, binadamu na hawa wanyama hatuna tofauti kubwa. Labda wamesoma kutoka kwetu.
https://www.youtube.com/watch?v=YBhMhn4Y57E&feature=related
Ha ha ha kaka yangu!
Huyo gorilla lazima awe ametoa si nyama tu na ndizi juu, yaani anembenjua hivyo mdada wa watu, kabadilisha style mara tatu aisee.
Halafu mimi nafikiri sisi ndio tumewaiga hao wanyama, maana sisi twajificha behind 4 walls lakini tuna access ya kuwaanalia wao.
Wakati unawarecord, ulikuwa okay? Maana nimenotice camera inashake; kulikoni kaka yangu? LOL
nakwambia kazi ipo!nini lux bana hata revola inahuu mwenzangu !sio tu mwanaume mijicho imekutoka wakati hata lamba lamba mkeo humnunulii!kisa nini ah NITAMUHONGAJE MKE WANGU BWANA!
hebu mtuhonge huko !
sasa, dhumuni la research hii ni kuhalalisha kuhonga au?
mie siku hubby wangu akija hata na sabuni ya lux! nampaaaaa mpaka anakinai, au birthday yangu aninunulie hata pichu ya kufuma tu, nampaje sasa!! anapima oil mpaka anakinai! lol, acheni ubahili, msijifanye eti equl rights wakati mnakulaga bila kubakiza kiporo! wapi Zinduna???
umeona eeeeee tena mpaka toilete atakusindikiza ili usitoroke! wakati ma-chimpazees wanahonga leo, mchezo keshokutwa! kaaaaaaaz kwel kwel!Shostito cacico, nyingine za moto, wanaume wa siku hizi wakikuhonga, ujiandae ndugu yangu zitakutokea puani maana atafanya kama anakomoa, lazima akamate konyagi na valuu kwa kwenda mbele kabla ya mchezo
Shostito cacico, nyingine za moto, wanaume wa siku hizi wakikuhonga, ujiandae ndugu yangu zitakutokea puani maana atafanya kama anakomoa, lazima akamate konyagi na valuu kwa kwenda mbele kabla ya mchezo
Kwani wewe unachunguliaje? Ahh samahani, unaonaje?
Wewe kiswahili hicho wewee
usifikiri kinyamwwezi unabwabwaja tu....lol
sema wakunaji na sio wakunwaji lol
Kuna mtu alisema kipele kimepata wakunaji (wakunaji alimaanisha wadada, kipele ni topic), ndio maana nikaulizia wakunwaji aka wachunwaji!
Got it?
mkuna na mkunwaji nani anaepata raha zaidi? lol...