kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Leo nilifanya Ziara ya Burundi na rafiki yangu na tulitembelea miji ya Mabanda, Makamba na Bujumbura. Kwa kweli wenzetu wamejaaliwa kwa kua na wanawake wazuri. Jamani yaani hadi vijijini unawakuta mabinti wazuri ajabu kilichonishinda hapo ni Lugha tu. yaani wanaongea Kirundi kiswahili wala kiingereza hawawezi hapo nimepata taabu sana yaani hadi naondoka moyo wangu unauma. Naapa ntarudi tena Burundi kutafuta mke wa kuoa