Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
siku moja JK, na Tambwe Hizza pamoja Rostam, walikwenda Bilicanas kustarehe walivyofika wakaagiza vinywaji, Tambwe akatoka nje akaja na mademu watatu wakakaa meza moja wanakunywa pamoja, JK akatoa pesa kama laki tatu akampa Tambwe akalipe alivyofika kaunta akamwambia muhudumu utamwabia Mbowe Jk, atampa pesa yake wakikutana Bungeni. siku Jk na Mbowe wamekutana Mbowe akamwambia JK nipe pesa yangu JK akamwambia mbona siku ile ile nilimpa Tambwe akalipe, kuanzia siku hiyo Tambwe na JK wamechuniana. Makamba ndio akalipa hilo deni