Kumbe Barrick wataanza kulipa kodi 2014? Mungu wangu tumerogwa au?

Kwa kweli hii iko sawa na ID yako (Makoye Matale) sijui tutatokaje hapa tulipo. Nchi inakuwa kama haina wasomi jamani? Na unashangaa kwa nini hawa jamaa wanaendelea kupewa ardhi yetu kuchimba madini wakati hatunufaiki na chochote? Au wakubwa wana mgawo wao nini?
Tatizo si kuwa au kutokuwa na wasomi............ NI WEZI TULIONAO
 
Mi nashauri wana jamvi A.K.A GREAT THINKERS tuchukue muda kidogo kufanya kautafiti hata kwenye google ili tujue system za migodi na ni muda gani wanaanza kupata faida ili walipe kodi.
All i know is hawa jamaa wanatumia gharama kubwa sana kujenga mgodi mmoja pamoja na machine zake+employees, KITU AMBACHO NCHI YETU HAIWEZI KUFANYA(HATUNA HUO MTAJI). SO INAWACHUKUA MUDA PIA KUANZA KUINGIZA FAIDA ILI WALIPE KODI. ZAIDI WANALIPA MLAHABA AU LOYALTY kama cjakosea.
mapenzi yangu
 
Kama tungekuwa makini, sekta ya madini ingetuinua kiuchumi haraka sana. Barrick wana migodi ya Bulyang'hulu, North Mara na Buzwagi, hatukuwa na sababu ya kuendelea kuwamilikisha maeneo yote hayo wakati nchi haipati faida. Hivi sasa wanajenga mgodi mwingine huko Mwakitolyo, Shinyanga. Ingekuwa bora tunawapa eneo moja la mgodi nasi wanatujengea mgodi wetu wenyewe. Zitto nawenzako, komaeni kuondoa dhuluma hii.

Underlied in red:

Pamoja na Tulawaka.
 
Si kodi pekee...ulizia uambiwe bili ya umeme ya 100% ya umeme unaotumika pale BULYANHULU wataanza kuilipa lini... .waliazanza na 25% (five years) then 50% next five years and then 75% next five years and 87.5% another five years. Yaani...by the end of life span ya mgodi ndo watatakiwa kulipa 100%

Cheif umeme unaotumika Buly ni extention ya national grid iliyogharamiwa na Barrick 100%. Hamna mgodi wenye exemption ya bili ya umeme, as a matter of fact Barrick is TANESCO's biggest client.

Swali la kuuliza ni hili; kama hawa mabwana wametumia zaidi ya dola milioni 100 kati ya 2006-10 kupanua gridi ya taifa hizo hela walizo -ooffset zimetumikaje?

Regarding mikataba, wanaposaini mikataba kunakua na representative wa pande zote. Jiulize, who was representing you? The mining company or the government? Ukishapata jibu sasa jiulize tena, who should I look to if i feel that I have been short changed?

Bila kujiuliza haya maswali ya msingi, tutajikuta tunapiga kelele bila ya kuwa na mkakati wa kuhakikisha Tanzania gets what is due.
 
hasira inanijaa sana nisomapo hizi habari na bado mtawala mmoja anasema haelewi kwanini tanzania ni maskini
naweza ishia vunja keyboard,kweli yatubidi tukomae na hii ccm hawana faida ni wauaji wakubwa!!
ni heri tungefunga migodi yote nchini then tukae chini tusubiri lau watokee waadilifu wenye uchungu wa nchi
walifanyie kazi!!
Lord God have mercy on us,shghulika na hawa wasini mikataba ya kimafia namna hii!
 
Mining and colonial practices in Tanzania - The return of Victorian era exploitation?


Greg Walker,we will begin told the journalists that Barrick ‘[is] not paying corporation taxes, we will only start paying corporation taxes in 2014 when realising profits.’


Mamaweeeeee....Until when they realise the profit na ikifika 2014 watasema wamepata hasara mgodi uliokwisha dhahabu watauuza kwa bei ndogo kwa mhuni mwingine....ama kweli viongozi wetu vichwa vya wendawazimu....MWINYI alisema
 
Back
Top Bottom