AMETAKASIKA MWENYE EZ MUNGU, MBORA WA KUUMBA,... kwake kila kitu KINAWEZEKANA, NA DAIMA HASHINDWI NA LOLOTE KATIKA UUMBAJI WAKE! NAE HANA KOSA KATIKA UUMBAJI WAKE ... NA HIMIDI ZOTE ZINAMSTAHIKI YEYE AFANYAE JAMBO MPAKA WATU KUONA MUUJIZA , LAKINI KWAKE HUWA NI JAMBO DOGO SANA! ALLAHU AKBAR!
Mkuu sio kukimbia peke yake.. Hata kujinyonga ucionekane kwenye uso wa dunia..! Inanikumbusha hivi karibuni mwananchi mmoja alienda kumuangalia mke wake hospital ambae alikuwa amejifungua.. Nyumbani tayari alikuwa na watoto wawili na hali ya maisha ilikuwa inabana ile mbaya.. Baada ya kuingia wodini alimkuta mkewe akiwa amejifungua watoto watatu..! Masikini mwananchi huyu aliaga na kusema atarudi jioni.. Ndio hakuonekana tena na ikabidi yule mama aombe msaada kwenye vyombo vya habari kutangaza shida yake ili wananchi wamsaidie..
Nikweli kabisa but ni sikunyingi sana Kama sikosei imeshapita miaka 5 toka ajifungue Hao watoto na alishakua na watoto wengine 6 anaitwa nadia suleiman anaishi huko USA
kuna mzee mmoja Moshi mjini alikuwa dereva wa magari ya marangu moshi mjini yeye alikuwa anaitwa 3*2.
yeye alimimba mkewe mimba ya triplets uzao wa kwanza, uzao wa pili tena mama akaleta triplets lol! ilibidi aombe afungwe kizazi manake angepata tena ingekuwa balaa. Uzuri Mungu ni mkuu sana wanae hawa mapacha wote wako hai ni wakubwa uzao wa kwanza miaka 15 sasa na wa pili miaka 11.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.