~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,988
kumbatio.png
photo.php



Baada ya miaka mitatu ya kuwa likizo ya kujitakia kutoka kuandika hadithi za "kusisimua" na kufurahisha za visa mbalimbali vya kimapenzi, vitisho na mapambano ninarudi na kisanga kipya ambacho kinatokea kuelekea Siku Kuu ya Muungano. Ni kisa kinachomhusu Clementina, mke wa Waziri mmoja wa serikali iliyoko madarakani. Ni kisa ambacho kitakujia ndani ya siku tano na ni utangulizi wa kisa changu cha kwanza cha kibiashara (commercial work) ambacho kitapatikana kupitia mtandao huu wa JF peke yake. Shigongo once again has been put on notice!!

NB: Jaribuni kuwaalika watu wengine kusoma hapa ili wajiandikishe JF vile vile, msitume tu kwa watu.. watumieni link.
* * *

 

Attachments

  • kumbatio.jpg
    kumbatio.jpg
    47 KB · Views: 1,416
  • SURA YA 1.pdf
    186.3 KB · Views: 936
  • SURA YA 2.pdf
    22.5 KB · Views: 592
  • SURA YA 3.pdf
    42.9 KB · Views: 696
  • SURA YA 4.pdf
    41.8 KB · Views: 542
  • SURA YA 5.pdf
    31.2 KB · Views: 591
  • SURA YA 6.pdf
    108.2 KB · Views: 649
  • SURA YA 7.pdf
    191.7 KB · Views: 874
Mkulu MMM kama kawaida yako...yaani sihitaji PhD kujua kwamba kisa kinachokuja ni moto.....kama 'muumini' mzuri wa hadithi zako toka enzi nina weza kuguess so...you go man!
 
Heshima kwako MM

Unajua nilishaacha kusoma hadithi za kiswahili lkn taratibu unanirejesha.
Asante nasubiri j3
.
 
Mwnakijiji tafadhali niko chini ya miguu yako uendeleze kisa hiki hiyo keshokutwa maana kimeninogea tayari.............................nakuaminia
 
Mwnakijiji tafadhali niko chini ya miguu yako uendeleze kisa hiki hiyo keshokutwa maana kimeninogea tayari.............................nakuaminia

JS sehemu ipi imekunogea.
 
Nimeipenda jazanda yake, inaonyesha kazi nzuri...inanikumbusha jazanda za E.Kezilahabi
 
Back
Top Bottom