Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
Baada ya miaka mitatu ya kuwa likizo ya kujitakia kutoka kuandika hadithi za "kusisimua" na kufurahisha za visa mbalimbali vya kimapenzi, vitisho na mapambano ninarudi na kisanga kipya ambacho kinatokea kuelekea Siku Kuu ya Muungano. Ni kisa kinachomhusu Clementina, mke wa Waziri mmoja wa serikali iliyoko madarakani. Ni kisa ambacho kitakujia ndani ya siku tano na ni utangulizi wa kisa changu cha kwanza cha kibiashara (commercial work) ambacho kitapatikana kupitia mtandao huu wa JF peke yake. Shigongo once again has been put on notice!!
NB: Jaribuni kuwaalika watu wengine kusoma hapa ili wajiandikishe JF vile vile, msitume tu kwa watu.. watumieni link.
* * *
NB: Jaribuni kuwaalika watu wengine kusoma hapa ili wajiandikishe JF vile vile, msitume tu kwa watu.. watumieni link.
* * *