newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Mafuta ya kuendeshea gari langu yanazidi kupanda bei. kwa wiki natumia elfu 70.kwa mwezi ni around 250,000. hapo sijafanya tripu za kutembelea nje ya dar ktk kusaka mashamba etc.nikipiga hesabu ya mwaka gharama ya mafuta tu ni around 4millioni ,EWURA watazidi kupandisha bei ya mafuta na shiliingi yetu itazidi kushuka thamani.ikifika 2012 bei ya lita itakuwa sh.2700.
Nimeamua kulima mafuta ya kuendeshea gari langu. kwani gharama ya kumlipa mtu alime miti ya kuzalisha Biodiesel kwa mwezi na chakula ni kama laki 2. kwa mwaka ni 2.5 mil. nitaweza ku control fuel prices bila kuiomba serikali ipunguze bei za mafuta.
Nafanya udadisi ni Nianze kulima mmea upi,kwa sasa nina Jatropha na Mawese.na hivyo vyote unavuna baada ya 3 years ,sijajua kama kuna mmea unaweza kuvuna ktk muda mfupi ili nianze kuvuna biodiesel shambani kwangu.
Nimeamua kulima mafuta ya kuendeshea gari langu. kwani gharama ya kumlipa mtu alime miti ya kuzalisha Biodiesel kwa mwezi na chakula ni kama laki 2. kwa mwaka ni 2.5 mil. nitaweza ku control fuel prices bila kuiomba serikali ipunguze bei za mafuta.
Nafanya udadisi ni Nianze kulima mmea upi,kwa sasa nina Jatropha na Mawese.na hivyo vyote unavuna baada ya 3 years ,sijajua kama kuna mmea unaweza kuvuna ktk muda mfupi ili nianze kuvuna biodiesel shambani kwangu.