Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Teeeeeeh teeeeeeeeh, walipelekwa kufanyiwa shopping uarabuni...ccm kweli ni jangaTwiga walienda kuangalia majengo mazuri huko arabuni walikata hadi passport
Teeeeeeh teeeeeeeeh, walipelekwa kufanyiwa shopping uarabuni...ccm kweli ni jangaTwiga walienda kuangalia majengo mazuri huko arabuni walikata hadi passport
Daaaaa!!!, huyo aende kwa kikwete? Huyo kazi yake ni kushinda lumumba tu kuwapokea wanene tuKawaulize maafisa wa Ikulu wa Jakaya Kikwete wakuambie ni kwanini sio tatizo kusafirisha wanyama maana wao ndio wahusika wakuu
Hiyo haikuhusu na siyo kazi yako kujua hiloKama ulijua hauna jibu kulikuwa na haja gani hata ya kujaza nafasi?
Ulishawahi kufika mbuga za wanyama? Mimi nilishafika zaidi ya mara 8. Ni Tanzania gani hiyo unayoiongelea?Unasahau kwamba hawa ni wanyama tu na si vinginevyo, na kati ya wanyama uliowataja hakuna mmoja ambaye yuko hatarini kutoweka siyo Punda milia, wala Simba, Twiga au Kiboko, hawa wanyama wako kwa wingi tu TanZania na ni rahisi sana kuwazalisha kwa wingi, wanyama ambao wako hatarini kutoweka wanajulikana kama vile aina fulani ya faru nafikiri ni faru weupe lkn siyo hawa wengine!
Unanifurahisha sana unasema kwani hawawezi kurudisha, urudishe Mnyama ktk Uarabuni wakati unaweza ukazalisha hata 500 leo hii ukitaka? Vipi hawa wanaopigwa risasi kwenye vitalu na Wazungu kila siku?
Ni nani alikwambia TanZania kuna uhaba wa Twiga au Tembo au sijui Simba?
Ulishawahi kufika mbuga za wanyama? Mimi nilishafika zaidi ya mara 8. Ni Tanzania gani hiyo unayoiongelea?
Ningependa kufahamu hizo njia za kuzalisha hao wanyama unazozizungumzia. Kwa hilo mimi niko ignorant. Ninachokijua akizaliwa panda mmoja kwenye zoo dunia nzima tuna pata hiyo habari.
Naona hii issue imekugusa on a personal level. Kama huamini observation yangu nenda wizara husika au nenda kwenye mbuga uongee na wale guides wenye umri mkubwa. Lakini kama unataka kuhalalisha kuuzwa wanyama wetu basi hapa kutakufaa maana ninachoona hapa ni timu fulani na timu fulani.
Si support uwindaji kama sport. Wazungu wanachotaka ni trophies, wanachokifanya wengi wao kulipia mnyama mmoja na kulipa guides wawawindie hao wanyama. Personally ngozi ya mtu hainibabaishi ninachojali kinachoendelea kichwani kwake na moyoni mwake.
Pale ambapo wanyama watavamia maeneo ya watu nakuhatarisha maisha, nasema bila kusita, wauwawe au vinginevyo wanavijiji kwa utaratibu utakaofaa wapewe dawa za kushoot hao wanyama na kuwalewesha.
Sheria gani hiyo?! Vipi kuhusu sport hunting? ! Kwenye Game reserves?!Sawa ukishaambiwa unafanya nini ?? Ni simple tu sheria haziruhusu kuuza wanyama nje ,
Daaah!! Umelewa nini?Siyo kweli Tembo ni wengi sana mpaka wanaharibu mazao na kuvamia makazi, na isitoshe ninaposema wanyama hawawezi kuisha namaanisha kwamba ni rahisi kuzaana kama ukiuza Twiga 50 nje ni rahisi kuzalisha Twiga 100 wengine, ni swala la mpangilo tu, ndio maana nashindwa kuelewa tatizo la kuuza wanyama nje kama bidhaa na kujipatia fedha za kigeni ambazo zinahitajika hapa nchini, liko wapi?
Wazungu wametufundisha nini?Tatizo ni kwamba mmekaririshwa sana mambo na Wazungu na mnashindwa kufikira nje ya kile Wazungu walichowafundisha!
Wanyama kama Tembo, Twiga, Simba n.k TanZania hawana hatari yoyote ile ya kutoweka na maadamu hawana hatari ya kutoweka basi hakuna tatizo lolote lile kuwauza kama export na kuongeza mapato ya nchi maadamu tu kunakuwa na uangalizi wa kutosha, kwa mfano hutokea mara nyingi sana huwa na Tembo wengi klk wanavyohitajika kwa mfano Afrika Kusini tembo wamezidi na sasa wanawafanyia uzazi wa mpango ili wasiendelee kuongezeka na wengine kupigwa risasi na wawindaji kuingiza fedha za kigeni, hivyo siyo ishu kihivyo, ila sema kuna wanyama ambao wako hatarini kutoweka kwa mfano Faru weupe hapo sawa hawa ni lazima kuwalinda!
Once upon a time, faru weupe walikuwepo kwa kiasi chake na sasa ni endangered species. Tokea mwanzo nilisema mimi sina list hiyo na bahati mbaya pia sifahamu ni wanyama gani waliouzwa Qatar zaidi ya twiga, ninachokijua mimi ni kwamba wanyama wetu mbugani wamepungua. Ujangili, uwindaji na utoroshwaji wa wanyama ni baadhi ya sababu zilizochangia upungufu huo.Tatizo ni kwamba mmekaririshwa sana mambo na Wazungu na mnashindwa kufikira nje ya kile Wazungu walichowafundisha!
Wanyama kama Tembo, Twiga, Simba n.k TanZania hawana hatari yoyote ile ya kutoweka na maadamu hawana hatari ya kutoweka basi hakuna tatizo lolote lile kuwauza kama export na kuongeza mapato ya nchi maadamu tu kunakuwa na uangalizi wa kutosha, kwa mfano hutokea mara nyingi sana huwa na Tembo wengi klk wanavyohitajika kwa mfano Afrika Kusini tembo wamezidi na sasa wanawafanyia uzazi wa mpango ili wasiendelee kuongezeka na wengine kupigwa risasi na wawindaji kuingiza fedha za kigeni, hivyo siyo ishu kihivyo, ila sema kuna wanyama ambao wako hatarini kutoweka kwa mfano Faru weupe hapo sawa hawa ni lazima kuwalinda!