Think Tank
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 233
- 25
Jamani pamoja na makosa ambayo Kafulila atakuwa kafanya,haitaji research kubwa kugundua kuwa Nccr-Mageuzi chini ya Mbatia imeporoka sana na sababu kubwa ni kuonekana kama ni moja ya matawi ya Ccm kwenye vyama upinzani.Kuhusu kufukuzana ssa Tz kuna mtindo wa kukwepa kutatua tatizo linalalamikiwa bali tunawafukuza wanaolalamikia tatizo hilo.Mifano michache ni Wanafunzi vyuoni,Madaktari na hao wabunge.Wakati kuna mijitu inakwiba mihela kila idara ya srkl lkn ipo tu mtaani inabadilisha modeli ya magari!Siku yao itafika tu siku wanaojenga nchi kwa moyo watakapo kataa nchi yao kuliwa na wenye meno!