Kanuni za NCCR zinaorodhesha makosa zaidi ya kumi, yapo ya kutimuliwa moja kwa moja, matharani kutoa siri za chama, kukashifu uongozi kwa kashifa za kizushi, nk. hayo kafulila aliyafanya. Laiti watu wangesoma kanuni hizo na kuona orodha ya makosa ya Kafulilia.SWALI LANGU:
Katika kumfukuza kafulila katiba ya NCCR Mageuzi imeeleza nini kuhusu hilo? Pia mhe Machali atueleze vipi Mhe kabwe anahusika na mgogoro huu.
Profile yake kwa kifupi hii hapa!Huyu dogo ndio anasoma Saut Mwanza?
Huyu mgombea binafsi atasolve vipi inshu kama hii ya Kafulila kama Mbunge atakuwa kagombea kwa tiketi ya chama?Watanzania hatujazoea maauzimu magumu kama hayo, tumezoea mtu akikosa anaamishiwa pengine.
SWALI LANGU:
Katika kumfukuza kafulila katiba ya NCCR Mageuzi imeeleza nini kuhusu hilo? Pia mhe Machali atueleze vipi Mhe kabwe anahusika na mgogoro huu.
MAONI YANGU:
Dawa pekee ya migogoro hii ni katiba mpya ya kuruhusu mgombe binafsi
order ilikuja barua imeishaandikwaKama mmeambiwa msichukue uamuzi wowote,sasa kwanini mmeandika barua kwenda ofisi ya spika?
je ZITTO KABWE anahusika vipi na mgogoro wa DAVID KAFULILA NA NCCR MAGEUZI?
Naona swali lako limeshajibiwa. Shangilia kama MSKama mmeambiwa msichukue uamuzi wowote, sasa kwanini mmeandika barua kwenda ofisi ya spika?