Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Greetings wanaJF
Awali ya yote nichukue fursa hii kuungana na wanaJF wote, familia ya marehemu Regia Mtema na watanzania walioguswa na msiba wa mpiganaji na mwanaforum Regia. Binafsi ulikuwa msaada kwa changamoto na mawazo yako mengi inbox katika kuboresha Kipindi chetu cha TUONGEE ASUBUHI R.I.P Regia.
Tutaendelea kuenzi na kuthamini mawazo yako mema.
Katika Kipindi cha Leo tutakuwa na fursa ya kupata maelezo ya upande Mmoja wa sarafu kuhusu Wimbo la kufukuzana katika vyama na safari hii mgeni wetu ni katibu mwenezi wa NCCR Moses Machali (M) Kama tulivyoahidi JUMAPILI iliyopita.
Muulize Maswali na tutayasoma kwa kadiri muda utakavyoturuhusu
Awali ya yote nichukue fursa hii kuungana na wanaJF wote, familia ya marehemu Regia Mtema na watanzania walioguswa na msiba wa mpiganaji na mwanaforum Regia. Binafsi ulikuwa msaada kwa changamoto na mawazo yako mengi inbox katika kuboresha Kipindi chetu cha TUONGEE ASUBUHI R.I.P Regia.
Tutaendelea kuenzi na kuthamini mawazo yako mema.
Katika Kipindi cha Leo tutakuwa na fursa ya kupata maelezo ya upande Mmoja wa sarafu kuhusu Wimbo la kufukuzana katika vyama na safari hii mgeni wetu ni katibu mwenezi wa NCCR Moses Machali (M) Kama tulivyoahidi JUMAPILI iliyopita.
Muulize Maswali na tutayasoma kwa kadiri muda utakavyoturuhusu