Kulikoni ya wanawake na mavazi haya? Inasikitisha mnapoteza asili yenu

Wanawake siku hizi wamepooza, wabaridi na wasio na ladha tena katika suala zima la mapenzi hii inatokana na jinsi wanavyovaa na ambavyo walitakiwa wavae.

Wanawake siku hizi wanaacha maziwa nje, mistari ya makalio nje, mapaja nje, wengine hawavai chupi, sidiria, wala skin tite. Si ajabu sasa kuuona uchi wa mwanamke mkiwa ndani ya daladala, ofisini, barabarani wakitembea, sehemu za starehe n.k

Kwa mantiki hii wanawake wamekuwa baridi, wasiovutia tena kwenye mapenzi na walioopooza kwa kiwango kikubwa kutokana na maumbile yao kuonekana wazi na kila mara. Kimsingi mwanamke hatakiwi kuwa uchi uchi ili pale faragha anapokuwa wazi basi aweze kumhamasisha mwanaume na mapenzi yaweze kuwa moto.

Na hiki ndio chanzo kikubwa cha ndoa nyingi, mahusiano mengi kuvunjika maana wanawake sio wale tena hawana tofauti na wanaume tena na wamekuwa wa kawaida sana

Mwisho:- Wanawake kwenye kutafuta hiyo 50/50 pia fudishaneni kurudia uwanawake ili kweli heshima yenu irudi na ladha yenu na hamasa yenu kama wanawake irudi otherwise mnapata huku halafu mnapoteza huku.

niambie ni dunia gani unayoishi nami nije kuishi huko. kila mwanamke anavaa uchi?!
 


Hivi ni mavazi gani haya au mengine?

african woman and man.jpg
 

Attachments

  • cultue.bmp
    39 KB · Views: 96
Wanawake siku hizi wamepooza, wabaridi na wasio na ladha tena katika suala zima la mapenzi hii inatokana na jinsi wanavyovaa na ambavyo walitakiwa wavae.

Wanawake siku hizi wanaacha maziwa nje, mistari ya makalio nje, mapaja nje, wengine hawavai chupi, sidiria, wala skin tite. Si ajabu sasa kuuona uchi wa mwanamke mkiwa ndani ya daladala, ofisini, barabarani wakitembea, sehemu za starehe n.k

Kwa mantiki hii wanawake wamekuwa baridi, wasiovutia tena kwenye mapenzi na walioopooza kwa kiwango kikubwa kutokana na maumbile yao kuonekana wazi na kila mara. Kimsingi mwanamke hatakiwi kuwa uchi uchi ili pale faragha anapokuwa wazi basi aweze kumhamasisha mwanaume na mapenzi yaweze kuwa moto.

Na hiki ndio chanzo kikubwa cha ndoa nyingi, mahusiano mengi kuvunjika maana wanawake sio wale tena hawana tofauti na wanaume tena na wamekuwa wa kawaida sana

Mwisho:- Wanawake kwenye kutafuta hiyo 50/50 pia fudishaneni kurudia uwanawake ili kweli heshima yenu irudi na ladha yenu na hamasa yenu kama wanawake irudi otherwise mnapata huku halafu mnapoteza huku.
MKUU angalia bold uandishi wa aina hii ndo unaowakwaza watu wengi. Hapa siyo tu kwamba uko too general, hapa unamaanisha wanawake wote, which is not true. Ningekubaliana na wewe moja kwamoja kama ungetumia vielezi vya idadi kukwepa kujumuisha hata wasiohusika. Nakubaliana na wewe kuwa lipo tatizo la msingi kuhusu namna ya uvaaji kwa baadhi ya wanawake na athari zake ziko wazi. Hata wanaobisha ni kwa sababu wanataka kunogesha mjadala tu
 
Umewapa ukweli na utabaki kuwa ukweli japo kudadeki wamefulia na wanajidai kuja juu ,yaani umewagusa ndipo kabisa ndio maana yake,tatizo wanakuja na masuali ya vibarazani badala ya kuijadili hoja yenyewe. Yaani umewakandamiza vibaya kabisa ,sema wanatafuta seemu ya kutokea :roll:
 
Back
Top Bottom