Kulikoni Watanzania? Nchi nyingi Wananchi wanaandamana Kupinga Hali Ngumu Lakini Sisi Kimyaaa!

NdasheneMbandu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
940
308
Ndugu zangu,

Watanzania tumelogwa au ndiyo ule wimbo wa magamba wa amani na utulivu. Nchi nyingi duniani hivi sasa wananchi wanaandamana kupinga maamuzi ya serikali zao kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi, kisiasa na kijamii lakini watanzania tupo kimyaaaaaaa kana kwamba serikali yetu inafanya vema. Mfano mzuri ni maandamano yanayoendelea nchini Uganda na Nigeria mpaka serikali zao zinaelekea kusalimu amri. Sisi hapa kwetu juzi tu EWURA wamepandisha umeme kwa wastani wa asilimia 40.29 lakini sisi tunaishia kulalamika kwenye vijiwe vyetu tu mitaani. Ifike mahali watanzania tujifunze kwa wenzetu kuwa na ujasiri. Serikali ya ccm imefanya maamuzi ya hasara mengi na makubwa kwenye mikataba ya umeme matokeo yake ni kuendelea kubebeshwa mizigo ya bei kila baada ya muda mfupi. Pamoja na hali hiyo, bado tupo kimya. Hatusikii chama chotechote kitaandaa maandamano ya kupinga ongezeko la bei. Shime watanzania tufanye maamuzi. Tutaangamizwa na maamuzi haya ya kifisadi.
 
Hii kauli ilikuwa na maana kubwa sana " TANZANIA NI KICHWA CHA MWENDAWAZIMU".Watu tuliichukulia poa ila ina maana yake wajameni.Mtakuja kumkumbuka.
 
Si muda mrefu utaitwa kuhojiwa na Polisi....Watz tumejaa ubinafsi,fitina na woga
 
Mi nna wasiwasi hapa tulipofikia hata tukivamiwa na nchi jirani ikahamua kuchukua mlima kilimanjaro tutabaki tunawaangalia tu. Na kulalamika vichochoroni.
 
Kuhamasisha maandamano ya kuipinga serikali ni "uchochezi"!.

Watanzania ni watu wa amani!. Hatuko kama wale Wamisri, Watunisia au Walibya!.
 
Ndugu zangu,

Watanzania tumelogwa au ndiyo ule wimbo wa magamba wa amani na utulivu. Nchi nyingi duniani hivi sasa wananchi wanaandamana kupinga maamuzi ya serikali zao kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi, kisiasa na kijamii lakini watanzania tupo kimyaaaaaaa kana kwamba serikali yetu inafanya vema. Mfano mzuri ni maandamano yanayoendelea nchini Uganda na Nigeria mpaka serikali zao zinaelekea kusalimu amri. Sisi hapa kwetu juzi tu EWURA wamepandisha umeme kwa wastani wa asilimia 40.29 lakini sisi tunaishia kulalamika kwenye vijiwe vyetu tu mitaani. Ifike mahali watanzania tujifunze kwa wenzetu kuwa na ujasiri. Serikali ya ccm imefanya maamuzi ya hasara mengi na makubwa kwenye mikataba ya umeme matokeo yake ni kuendelea kubebeshwa mizigo ya bei kila baada ya muda mfupi. Pamoja na hali hiyo, bado tupo kimya. Hatusikii chama chotechote kitaandaa maandamano ya kupinga ongezeko la bei. Shime watanzania tufanye maamuzi. Tutaangamizwa na maamuzi haya ya kifisadi.

Nilishawahi kuandika humu ukumbini kuwa ni BORA MAISHA YAWE MAGUMU ZAIDI YA HIVI (in fact mambo yanazidi kuharibika and I am sure soon yatatimia) ili Watanzania ambao mpaka leo hii wanawaamini ccm watie akili.
 
Nilishawahi kuandika humu ukumbini kuwa ni BORA MAISHA YAWE MAGUMU ZAIDI YA HIVI (in fact mambo yanazidi kuharibika and I am sure soon yatatimia) ili Watanzania ambao mpaka leo hii wanawaamini ccm watie akili.

Tatizo mi naona si wanaowaamini CCM, tatizo wasioamini kitu chochote.
tuliona ile kampeni ya walk to work nchini Uganda napata wakati mgumu kuamini kama watanzania wako tayari kufanya hilo.
vyama vya wafanyakazi Nigeria viliitisha mgomo, hapa kwetu kila siku ni matamko
 
Ndugu zangu,

Watanzania tumelogwa au ndiyo ule wimbo wa magamba wa amani na utulivu. Nchi nyingi duniani hivi sasa wananchi wanaandamana kupinga maamuzi ya serikali zao kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi, kisiasa na kijamii lakini watanzania tupo kimyaaaaaaa kana kwamba serikali yetu inafanya vema. Mfano mzuri ni maandamano yanayoendelea nchini Uganda na Nigeria mpaka serikali zao zinaelekea kusalimu amri. Sisi hapa kwetu juzi tu EWURA wamepandisha umeme kwa wastani wa asilimia 40.29 lakini sisi tunaishia kulalamika kwenye vijiwe vyetu tu mitaani. Ifike mahali watanzania tujifunze kwa wenzetu kuwa na ujasiri. Serikali ya ccm imefanya maamuzi ya hasara mengi na makubwa kwenye mikataba ya umeme matokeo yake ni kuendelea kubebeshwa mizigo ya bei kila baada ya muda mfupi. Pamoja na hali hiyo, bado tupo kimya. Hatusikii chama chotechote kitaandaa maandamano ya kupinga ongezeko la bei. Shime watanzania tufanye maamuzi. Tutaangamizwa na maamuzi haya ya kifisadi.
We njaa zako unazileta hapa kuhamasisha wenye maisha mazuri. Katafute kazi kijana
 
Ukiona hivyo ujue watsnzania wote ni wezi; yes ni wezi kama sio wa pesa basi muda wa mwaajiri ndio maana pamoja na ugumu huu bado wanaishi tu!
 
bro kizazi kilichotafuta uhuru kumeanza kuisha, kuna kizazi hapa kilichoanzia 2/5/1977. hiki ndicho kitakuja kufanya yale ya cairo. muda c mrefu utashuhudia hilo.
 
Ndugu zangu,

Watanzania tumelogwa au ndiyo ule wimbo wa magamba wa amani na utulivu. Nchi nyingi duniani hivi sasa wananchi wanaandamana kupinga maamuzi ya serikali zao kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi, kisiasa na kijamii lakini watanzania tupo kimyaaaaaaa kana kwamba serikali yetu inafanya vema. Mfano mzuri ni maandamano yanayoendelea nchini Uganda na Nigeria mpaka serikali zao zinaelekea kusalimu amri. Sisi hapa kwetu juzi tu EWURA wamepandisha umeme kwa wastani wa asilimia 40.29 lakini sisi tunaishia kulalamika kwenye vijiwe vyetu tu mitaani. Ifike mahali watanzania tujifunze kwa wenzetu kuwa na ujasiri. Serikali ya ccm imefanya maamuzi ya hasara mengi na makubwa kwenye mikataba ya umeme matokeo yake ni kuendelea kubebeshwa mizigo ya bei kila baada ya muda mfupi. Pamoja na hali hiyo, bado tupo kimya. Hatusikii chama chotechote kitaandaa maandamano ya kupinga ongezeko la bei. Shime watanzania tufanye maamuzi. Tutaangamizwa na maamuzi haya ya kifisadi.

tumerogwa, si umesikia viongozi wanalala makaburini au?
 
Kuhamasisha maandamano ya kuipinga serikali ni "uchochezi"!.

Watanzania ni watu wa amani!. Hatuko kama wale Wamisri, Watunisia au Walibya!.

Pascal,

The time bomb is ticking tik tok tik tok

It is a matter of time.

Unless system ibadirike naku prempty unrest by doing things right. First and foremost wadhibiti rushwa. It doesn't cost much kudhibiti rushwa.
This will be a good step to restore the public trust.
Otherwise wait and see.
 
Watanzania ni wanafiki tunalalamika tu pembeni tukiwaona viongozi kuwaambia shida zetu tunawaogopa. Haswa wakitupatia ahadi za kijinga au vitu vidogo visivyo na maana. Walio wachache haswa viongozi wa vyama vingine wameridhika na maisha yao binafsi; inaonekana kama vile wanasahau waliowachagua. Na CCM ndio kabisa hawajali chochote as long as familia zao zinaishi maisha mazuri na wala hawajui shida nini. Tuliobaki akina kapuku tunakubali chochote kile; hakuna umeme, maji upandishwaji wa bei za vitu sie kimya. Kuandamana ni kudai haki na wala si uchochezi; kwani ikiwa kama raia tunahitaji mahitaji yote muhimu kama binadamu wengine. Inatubidi tuamke sasa kwani tumelala sana...
 
Ndugu zangu,

Watanzania tumelogwa au ndiyo ule wimbo wa magamba wa amani na utulivu. Nchi nyingi duniani hivi sasa wananchi wanaandamana kupinga maamuzi ya serikali zao kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi, kisiasa na kijamii lakini watanzania tupo kimyaaaaaaa kana kwamba serikali yetu inafanya vema. Mfano mzuri ni maandamano yanayoendelea nchini Uganda na Nigeria mpaka serikali zao zinaelekea kusalimu amri. Sisi hapa kwetu juzi tu EWURA wamepandisha umeme kwa wastani wa asilimia 40.29 lakini sisi tunaishia kulalamika kwenye vijiwe vyetu tu mitaani. Ifike mahali watanzania tujifunze kwa wenzetu kuwa na ujasiri. Serikali ya ccm imefanya maamuzi ya hasara mengi na makubwa kwenye mikataba ya umeme matokeo yake ni kuendelea kubebeshwa mizigo ya bei kila baada ya muda mfupi. Pamoja na hali hiyo, bado tupo kimya. Hatusikii chama chotechote kitaandaa maandamano ya kupinga ongezeko la bei. Shime watanzania tufanye maamuzi. Tutaangamizwa na maamuzi haya ya kifisadi.
Mbuzi yake kamba,akikubali hilo ataendelea kula majani ya eneo ambapo kamba inaishia.WaTZ tubadilike.
 
Mh! We mie sitaki kufa afadhali nilipe tu!!!
Ndugu zangu,

Watanzania tumelogwa au ndiyo ule wimbo wa magamba wa amani na utulivu. Nchi nyingi duniani hivi sasa wananchi wanaandamana kupinga maamuzi ya serikali zao kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi, kisiasa na kijamii lakini watanzania tupo kimyaaaaaaa kana kwamba serikali yetu inafanya vema. Mfano mzuri ni maandamano yanayoendelea nchini Uganda na Nigeria mpaka serikali zao zinaelekea kusalimu amri. Sisi hapa kwetu juzi tu EWURA wamepandisha umeme kwa wastani wa asilimia 40.29 lakini sisi tunaishia kulalamika kwenye vijiwe vyetu tu mitaani. Ifike mahali watanzania tujifunze kwa wenzetu kuwa na ujasiri. Serikali ya ccm imefanya maamuzi ya hasara mengi na makubwa kwenye mikataba ya umeme matokeo yake ni kuendelea kubebeshwa mizigo ya bei kila baada ya muda mfupi. Pamoja na hali hiyo, bado tupo kimya. Hatusikii chama chotechote kitaandaa maandamano ya kupinga ongezeko la bei. Shime watanzania tufanye maamuzi. Tutaangamizwa na maamuzi haya ya kifisadi.
 
vilaza ni wengi hii nchi na ujamaa bado una nafasi kwenye vichwa vya watu.
 
Hali ngumu ipi?, hauli?. We jali kama laifu lako linasonga tu. Maandamano mtafanya nyie tu ila impakiti yake mtaisoma.
 
Back
Top Bottom