Kottler Masoko
Senior Member
- May 28, 2010
- 193
- 28
Habarini za Kazi Wakuu.
Kuna mtu yeyote mwenye taarifa kuhusu kusuasua kwa huduma ya VODACOM M-PESA wanakosema kumesababishwa na kukosekana kwa Network? Au ndo ule wimbo wetu wajinga ndiyo waliwao!! Maana tangu jumapili iliyopita dogo hajapata pesa nilizomtumia ktk M-pesa, amejaribu kuuliza anaambiwa kwamba kuna shida ya Network, MBONA SISI WATEJA HATUJAWEKWA WAZI TUKATAFUTA NJIA NYENGINE?
Sasa kwa vijisababu kama hivi tutafika kweli ktk huo ulimwengu wa pure digital?
I WONDER VODACOM WAMEKAA KIMYA, WATU WATAIBIWA BUREEE.:angry:
Kuna mtu yeyote mwenye taarifa kuhusu kusuasua kwa huduma ya VODACOM M-PESA wanakosema kumesababishwa na kukosekana kwa Network? Au ndo ule wimbo wetu wajinga ndiyo waliwao!! Maana tangu jumapili iliyopita dogo hajapata pesa nilizomtumia ktk M-pesa, amejaribu kuuliza anaambiwa kwamba kuna shida ya Network, MBONA SISI WATEJA HATUJAWEKWA WAZI TUKATAFUTA NJIA NYENGINE?
Sasa kwa vijisababu kama hivi tutafika kweli ktk huo ulimwengu wa pure digital?
I WONDER VODACOM WAMEKAA KIMYA, WATU WATAIBIWA BUREEE.:angry: