Kulikoni TIGO kutufanya wateja wenu ndondocha?

Jumakidogo

R I P
Jul 16, 2009
1,851
417
Hii kampuni ilikuwa kero, sasa imezidi na kuwa kereka. Kulikoni ukiacha akiba yako usiku, ukiamka asubuhi unakuta wemeramba, ukipiga kungea na huduma kwa wateja. Simu inaita bila kupokelewa. Hata simu ya huduma kwa wateja nayo wanaramba salio. Hii siyo sawa kabisa. Hebu kama kuna muhusika humu ajitokeze tumpe changamoto kidogo maana hata ukiwapigia simu hawapokei.
 
bado mwang'ang'ana na tg? wala haihitaji
elimu ya msingi kujua kwamba hawa jamaa
ni matapeli. hasa pale unapopiga cm halafu
haya mase.nge yanakuunganisha kwa
voicemail bila wewe kujua. ku.m.,a mae zenu
 
Nenda facebook wamefungua ukurasa wao utoe makomenti ya kutosha. Hawa jamaa wanatufanya sie punguani. Huduma zao za kipumbavu, unapiga simu wanakuunga kwenye voice mail. Ujinga.
 
Nenda facebook wamefungua ukurasa wao utoe makomenti ya kutosha. Hawa jamaa wanatufanya sie punguani. Huduma zao za kipumbavu, unapiga simu wanakuunga kwenye voice mail. Ujinga.
...........wanakupa offer halafu wanazilamba kinyemela ! zile pesa wanazochukua ukipiga customer care halafu hawapokei cm, hiyo kitu inaniuma sana, ndio maana wakaitwa tiGo! Ukikutana nao watie kidole cha tiGo !
 
Hata humu wapo ila wanafumbia macho malalamiko ya wateja.
 
Haaaaaaa tiGO imekua tiGO imepanuka,na ndo wadhamin hapa jamvin so msitukane sana waambieni kina paw,invisible,RR wawafikishie ujumbe
 
mwanzo walianza fresh,cjui wanarun bankrupt,yaani ni vibaka wa kutupwa,waizi ucpime! hebu watuambie rate yao ya tigo kwa tigo ni ngap coz hatuwaelewi....
 
Inabidi uongoze wa JF uliongelee jambo hili.
Sababu malalamiko dhidi ya hiyo kampuni ni mengi na makubwa na hiyo kampuni ni moja ya wadhamini wa JF, hivyo isije ikawa kelele zetu zote dhid ya dhurma zisiwe na maana yoyote kwa kuwa tu wao ni sehemu ya wawezeshaji hapa.
Tunauomba uongozi uwalete jamvini hao jamaa ili walijibie hilo, Facebook hatuwafuati, wengine tulisha toka huko long kitambo tu.
 
Jamani hivi ni lazima sana kuwa mteja wa tiGo? Kwanini ukose raha na ulalamike namna hii wakati makampuni ya simu yako mengi tu? Si muhame? Mmeshikiwa na kamba?
 
Mkuu hawa jamaa siku hizi ni matapeli wa kimataifa.
last week nilikuja na uzi hapa kama wako sikupata jibu. mimi nilitumiwa
tigo pesa ilikuwa jumamosi. niliisahau password kwani nilikuwa sijawahi
itumia huduma ya tigopesa toka nisajili line yangu.usumbufu nilioupata
week nzima na salio nikipiga simu customer care wanakata na simu haipokelewi.

Tigo acheni wizi huu si vizuri la sivyo mtajutia haya mbeleni kwani walami wanasema
it takes yaers to create a loyal customer but it takes second to loose one.
 
Inabidi uongoze wa JF uliongelee jambo hili.
Sababu malalamiko dhidi ya hiyo kampuni ni mengi na makubwa na hiyo kampuni ni moja ya wadhamini wa JF, hivyo isije ikawa kelele zetu zote dhid ya dhurma zisiwe na maana yoyote kwa kuwa tu wao ni sehemu ya wawezeshaji hapa.
Tunauomba uongozi uwalete jamvini hao jamaa ili walijibie hilo, Facebook hatuwafuati, wengine tulisha toka huko long kitambo tu.

jamani mimi ninatumia huo mtandao wa tigo nimesita kutupa line kwa kuwa nitapoteana na wadau wanaojua namba yangu.tafadhali tigo acheni kutuibia,ati mnanitumia matokeo ya soka sihitaji huduma hiyo mnakata tsh 150 kila mnapotuma upumbavu wenu,nimetuma neno ondoa hamtaki.nikiwapigia huduma kwa wateja hampokei.asheni use.n.ge.siweki salio kwa kuwaogopa loh!
 
Hii kampuni ilikuwa kero, sasa imezidi na kuwa kereka. Kulikoni ukiacha akiba yako usiku, ukiamka asubuhi unakuta wemeramba, ukipiga kungea na huduma kwa wateja. Simu inaita bila kupokelewa. Hata simu ya huduma kwa wateja nayo wanaramba salio. Hii siyo sawa kabisa. Hebu kama kuna muhusika humu ajitokeze tumpe changamoto kidogo maana hata ukiwapigia simu hawapokei.

Hamia airtel achana na hawa uchwara biashara
 
Nikiangalia pande zote za matatizo sioni kama tatizo ni wenye kampuni yao, bali watendaji. Humu ndani ya JF siku zote maongezi yetu ni juu ya mishahara ya graduates na wapi wanalipa zaidi. Nachojaribu kusema hapa ni kwamba si tiGO tu kwenye matatizo haya bali kila mahali na tatizo ni sisi tunaojiita wasomi.

Nenda ukafungue website za mabenki ukitaraji kupata taarifa za huduma zao...,thubutu! Website hazijaupdatiwa tangu zilivyotengenezwa. Na hapo hapo kuna IT department iliyojaa visharobaro vyenye kujishaua kwenye makoridor ya benki wakidisplay mavazi kama watoto wa kike. Mashingoni wameng'ing'iniza falsh disks, surali safi za vitambaa mashati ya kuimbia kwamba na viatu vinavyongaa kwa kubrashiwa kama askari wa mkoloni.

Ujinga pekee wa tigo ktk hili ni kuajiri watu kwa kuangalia sura badala ya kuajiri wachapa kazi. Kazi wanayoweza kufanya ni kujishaua steers wkt wa lunch kula sambusa moja na juice kama ma-model huku wakiongea kiingereza cha america pambaf zao. Ngoja Wakenya waingie humo kwenye tigo uone kama utasikia habari za network imebuma au salio limehama lenyewe.

Tuache usharobaro watanzania. Mchana kutwa mko JF fb na badoo badala ya kufanya kazi. IT departments zinatia aibu. Kazi zenu ni kubadili toner cartridge kwenye printer za masecretary na kupitapita makoridoni huku wateja hawahudumiwi. Mnachat kama ndio shughuli iliyowapeleka kazini halafu mnajisifia mmegraduate.
 
  • Thanks
Reactions: mka
Kuhusu hilo la 'MASHAROHARO' wa benki ninakuunga mkono,na bora american english wangekuwa wanaiweza!
Nikiangalia pande zote za matatizo sioni kama tatizo ni wenye kampuni yao, bali watendaji. Humu ndani ya JF siku zote maongezi yetu ni juu ya mishahara ya graduates na wapi wanalipa zaidi. Nachojaribu kusema hapa ni kwamba si tiGO tu kwenye matatizo haya bali kila mahali na tatizo ni sisi tunaojiita wasomi.

Nenda ukafungue website za mabenki ukitaraji kupata taarifa za huduma zao...,thubutu! Website hazijaupdatiwa tangu zilivyotengenezwa. Na hapo hapo kuna IT department iliyojaa visharobaro vyenye kujishaua kwenye makoridor ya benki wakidisplay mavazi kama watoto wa kike. Mashingoni wameng'ing'iniza falsh disks, surali safi za vitambaa mashati ya kuimbia kwamba na viatu vinavyongaa kwa kubrashiwa kama askari wa mkoloni.

Ujinga pekee wa tigo ktk hili ni kuajiri watu kwa kuangalia sura badala ya kuajiri wachapa kazi. Kazi wanayoweza kufanya ni kujishaua steers wkt wa lunch kula sambusa moja na juice kama ma-model huku wakiongea kiingereza cha america pambaf zao. Ngoja Wakenya waingie humo kwenye tigo uone kama utasikia habari za network imebuma au salio limehama lenyewe.

Tuache usharobaro watanzania. Mchana kutwa mko JF fb na badoo badala ya kufanya kazi. IT departments zinatia aibu. Kazi zenu ni kubadili toner cartridge kwenye printer za masecretary na kupitapita makoridoni huku wateja hawahudumiwi. Mnachat kama ndio shughuli iliyowapeleka kazini halafu mnajisifia mmegraduate.
 
Nikiangalia pande zote za matatizo sioni kama tatizo ni wenye kampuni yao, bali watendaji. Humu ndani ya JF siku zote maongezi yetu ni juu ya mishahara ya graduates na wapi wanalipa zaidi. Nachojaribu kusema hapa ni kwamba si tiGO tu kwenye matatizo haya bali kila mahali na tatizo ni sisi tunaojiita wasomi.

Nenda ukafungue website za mabenki ukitaraji kupata taarifa za huduma zao...,thubutu! Website hazijaupdatiwa tangu zilivyotengenezwa. Na hapo hapo kuna IT department iliyojaa visharobaro vyenye kujishaua kwenye makoridor ya benki wakidisplay mavazi kama watoto wa kike. Mashingoni wameng'ing'iniza falsh disks, surali safi za vitambaa mashati ya kuimbia kwamba na viatu vinavyongaa kwa kubrashiwa kama askari wa mkoloni.

Ujinga pekee wa tigo ktk hili ni kuajiri watu kwa kuangalia sura badala ya kuajiri wachapa kazi. Kazi wanayoweza kufanya ni kujishaua steers wkt wa lunch kula sambusa moja na juice kama ma-model huku wakiongea kiingereza cha america pambaf zao. Ngoja Wakenya waingie humo kwenye tigo uone kama utasikia habari za network imebuma au salio limehama lenyewe.

Tuache usharobaro watanzania. Mchana kutwa mko JF fb na badoo badala ya kufanya kazi. IT departments zinatia aibu. Kazi zenu ni kubadili toner cartridge kwenye printer za masecretary na kupitapita makoridoni huku wateja hawahudumiwi. Mnachat kama ndio shughuli iliyowapeleka kazini halafu mnajisifia mmegraduate.

Hii kitu ngumu kumeza hii....lakini ndio ukweli wenyewe.....kuna kitu kigumu nimepata hata...kazi kwenu mliotajwa sio tIgO pekee yao hapa!!!
 
Nikiangalia pande zote za matatizo sioni kama tatizo ni wenye kampuni yao, bali watendaji. Humu ndani ya JF siku zote maongezi yetu ni juu ya mishahara ya graduates na wapi wanalipa zaidi. Nachojaribu kusema hapa ni kwamba si tiGO tu kwenye matatizo haya bali kila mahali na tatizo ni sisi tunaojiita wasomi.

Nenda ukafungue website za mabenki ukitaraji kupata taarifa za huduma zao...,thubutu! Website hazijaupdatiwa tangu zilivyotengenezwa. Na hapo hapo kuna IT department iliyojaa visharobaro vyenye kujishaua kwenye makoridor ya benki wakidisplay mavazi kama watoto wa kike. Mashingoni wameng'ing'iniza falsh disks, surali safi za vitambaa mashati ya kuimbia kwamba na viatu vinavyongaa kwa kubrashiwa kama askari wa mkoloni.

Ujinga pekee wa tigo ktk hili ni kuajiri watu kwa kuangalia sura badala ya kuajiri wachapa kazi. Kazi wanayoweza kufanya ni kujishaua steers wkt wa lunch kula sambusa moja na juice kama ma-model huku wakiongea kiingereza cha america pambaf zao. Ngoja Wakenya waingie humo kwenye tigo uone kama utasikia habari za network imebuma au salio limehama lenyewe.

Tuache usharobaro watanzania. Mchana kutwa mko JF fb na badoo badala ya kufanya kazi. IT departments zinatia aibu. Kazi zenu ni kubadili toner cartridge kwenye printer za masecretary na kupitapita makoridoni huku wateja hawahudumiwi. Mnachat kama ndio shughuli iliyowapeleka kazini halafu mnajisifia mmegraduate.
sijui watakuelewa?
 
Back
Top Bottom