Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Hii kampuni ilikuwa kero, sasa imezidi na kuwa kereka. Kulikoni ukiacha akiba yako usiku, ukiamka asubuhi unakuta wemeramba, ukipiga kungea na huduma kwa wateja. Simu inaita bila kupokelewa. Hata simu ya huduma kwa wateja nayo wanaramba salio. Hii siyo sawa kabisa. Hebu kama kuna muhusika humu ajitokeze tumpe changamoto kidogo maana hata ukiwapigia simu hawapokei.