Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Pengine post hii hapa si mahala pake.If so,inaweza kuhamishiwa kunakostahili.Kwa sie tulio mbali na nyumbani,machapisho ya magazeti yetu katika mtandao ndio tegemeo letu kubwa (of course,JF ni tegemeo kubwa zaidi).Hata hivyo,vyombo vya habari vingi vya TZ vimekuwa vikitupuuza wasomaji wao wa mtandaoni hasa katika ku-update habari kwenye tovuti zao.
Tanzania Daima walikuwa wakijitahidi sana ku-update habari kwenye tovuti yao. Lakini hali imebadilika katika siku za hivi karibuni.Habari zilizowekwa Ijumaa iliyopita hazijabadilishwa hadi leo.Kama kuna matatizo ya kiufundi ni vema webmaster akaweka tangazo pale.Maana kwa sasa freemedia.co.tz haina tofauti sana na newhabari.com.Bora wenzao wa Uhuru walioamua kupotea kabisa hewani.
Nategemea kuna members wenzetu hapa JF ambao kwa namna moja au nyingine wanaweza kuwaamsha Freemedia.Tatizo kubwa linalotawala mentality ya wamiliki wa vyombo vya habari huko nyumbani ni kwamba online versions za magazeti ni sawa na kuuza gazeti bure.
Tanzania Daima walikuwa wakijitahidi sana ku-update habari kwenye tovuti yao. Lakini hali imebadilika katika siku za hivi karibuni.Habari zilizowekwa Ijumaa iliyopita hazijabadilishwa hadi leo.Kama kuna matatizo ya kiufundi ni vema webmaster akaweka tangazo pale.Maana kwa sasa freemedia.co.tz haina tofauti sana na newhabari.com.Bora wenzao wa Uhuru walioamua kupotea kabisa hewani.
Nategemea kuna members wenzetu hapa JF ambao kwa namna moja au nyingine wanaweza kuwaamsha Freemedia.Tatizo kubwa linalotawala mentality ya wamiliki wa vyombo vya habari huko nyumbani ni kwamba online versions za magazeti ni sawa na kuuza gazeti bure.