Star tv ilikuwa na imeendelea kuwa tv ya kurusha mambo ya kitaifa live lakini cku za hivi karibunu naona kama imejitoa kabisa kurusha habari za bunge...ni sababu za kibiashara au kisiasa anayejua kisa na mkasa atujuze...Tv zingine tunajua cyo huru kwani wenye nazo wanauma na kupuliza sitaki hata kujua sana habari zake...Tbc waipatikani kila mahali cc tulitegemea zaidi star tv