Kulikoni Prof. Mwandosya amenyoa nywele au ni ugonjwa kama wa Dr. Mwakyembe? Tujuzeni tafadhali?

kimalando

Senior Member
Jan 6, 2011
114
17
Wana JF tunaomba mtujuze kuhusu afya ya Prof Mwandosya. Nimemuona kwenye Michuzi blog hana nywele? Ni ugonjwa kama wa Dr. Mwakyembe au kanyoa!!
 

Attachments

  • Mwandosya2.JPG
    Mwandosya2.JPG
    56.3 KB · Views: 492
  • Mwandosya.JPG
    Mwandosya.JPG
    83.1 KB · Views: 444
  • Mwandosya1.JPG
    Mwandosya1.JPG
    71.6 KB · Views: 377
Kama daktari,

Siruhusiwi kutoa taarifa za mgonjwa! Pia nawashauri msijadili mambo ya ugonjwa wa mweshimiwa waziri!
 
Kamanda! Yani yaliyowakuta hawa wachapakazi wawili wa ccm ni wao wenyewe na MUNGU wao ndio wanajua siri hiyo.
Na kama wasingekuwa na IMANI ya uwepo wa MUNGU aliye hai,hakika nakwambia hawa wote wawili wangerudi makapu tu!

Yani ni siri yao tu!
 
Tumtakie afya njema hakuna haja ya kudodosa afya ya mtu ni kumuongezea maumivu
 
Huyu naye Kikwete kamchagua Kiushkaji.. Wanang'ata na kupuliza. Nani haoo. MAGAMBA!
 
My professor, kama unapita humu JF ujue kuwa nakupa pole sana kwa maradhi yanayokusibu. Siwezi kukulipa kwa yale yote ambayo umenitendea katika maisha yangu. Wema wako na useme mbele za Mungu na akupe ahueni na unafuu katika maisha yako yote.
Pole sana.
 
Hiyo ni matibabu ya kansa. Ugua pole prof. Mwandosya.

Dunia hii kila mtu anaumwa na ukitaka ushahidi ni zile foleni kuelekea kwa babu wa Loliondo.
 
attachment.php

afya za viongozi wetu kila kona ni mushkeli mkubwa.............tutasingizia sumu lakini ukweli hatuwezi kuuchakachua hata chembe.........
 
Makamba.jpg


huyu januari ni kinda lakini kesha kuwa babu baada ya muda mtasikia kaenda india kusafishwa sumu ya wabaya wake......................
 
kufika 2015, sehemu kubwa ya viongozi wa ccm watakuwa na vipara.
Kama kuna style ya piga nikupige
 
Back
Top Bottom