bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
Hii kali ya kufungia mwaka 2010, viagra na kahawa! Uongo mwengine hauna hata mwelekeo jamani.
kama muungwana alivyosema huko juu mkuu, usipende kusema ni uogo tu kwa sababu hujakipenda kilichoandikwa, we toa sababu kuonyesha ni the other way around vinginevyo unataka kuleta ubishani usio na tija! kwani kutumia viagra kwa mtu mzima kama yule ni ajabu? alikufa gen.sani abacha kwa viagra tena sio kwa mkewe kwa hooker wa kirusi itakua yeye bana! mda aliotangazwa kafa ni mida flan ya ndio kwanza watu wanaenda kulala na pia hadi anaenda kulala alikua mzima kabisaaaaa!