Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Ndugu wadau naomba kuelimishwa kidogo kuhusu mzee Aboud Jumbe. Naambiwa aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa pili wa Rais wa JMT. Ninachoshangaa ni kwamba sijawahi kumuona hata siku moja kwenye dhifa za kitaifa au matukio mengine ya kitaifa kama vile sherehe, misiba ama hata vikao vya NEC Dodoma.
Nimezoea kuona viongozi wengi wastaafu wakihudhuria lakini yeye sijawahi kumuona hata siku moja (hata Salmin naye amekuwa haonekani kabisa).
Naombeni wajuzi wa mambo tufahamishenbi kulikoni...naambiwa anaishi hapo kigamboni tu!
Nimezoea kuona viongozi wengi wastaafu wakihudhuria lakini yeye sijawahi kumuona hata siku moja (hata Salmin naye amekuwa haonekani kabisa).
Naombeni wajuzi wa mambo tufahamishenbi kulikoni...naambiwa anaishi hapo kigamboni tu!