JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,260
licha ya ajali nyingi kutokea hapa nchini hatujawahi kuona mmiliki wa kampuni anafuatiliwa kama ilivyo sasa kwa hii ya mohamed trans au ndio yupo katika hatua za mwisho kufilisiwa, jana jeshi la polisi lime kamata gari zake mbili kwa kosa ambalo halipo au ambalo linahusu zaidi TBS ambao ndio wanajua viwango gani vinafaa na ukiangalia gari kama hizo zipo nyingi sana barabarani na hazikamatwi, hii ikoje wana JF