BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Sijui wenzangu, lakini mimi leo nimejaribu kupata nakala ya gazeti la KULIKONI kuanzia saa tatu na nusu hadi saa sita na kuanzia Posta mpya hadi kariakoo sikupata nakala yoyote. Niliskia asubuhi wakisoma vichwa vya habari channel 10 kimojawapo kilikuwa jinsi Manji anavyodaiwa, sina hakika kama walisema na benki ama na serikali. Naomba kama kuna aliyeisoma habari hii atuwekee hapa tafadhali.