Miaka ya nyuma mimi nilikuwa mteja mzuri wa jolly club. Kila ninapofika pale hukutana na mabinti wazuri sana kutoka mikoa mbali mbali ya tz. Na kila baada ya muda mfupi huwasili mabinti wapya kutoka mikoani. Siku za karibuni nimejaribu kwenda jolly.wanawake nilokutana nao hawana mvuto kabisa na ni mishangingi iliyoshindikana.na kila unapoenda unakutana nao hao hao tu. Nikajaribu kuuliza sikupata majibu ya kuridhisha. Wengine waliniambi uongozi wa jolly wanawacharge wanawake alfu kumi ndio maana wamekimbia.wengine wakaniambia kwa sababu ya mtikisiko wa kiuchumi ,n.k. Nimejaribu kwenda sehemu zingine kama q bar, kinondoni.wanawake wa huko hawana mvuto na wengi wao ni mateja. Ningependa wana jf wenye kujuwa wapi hapa dar naweza kupata sehemu yenye mabinti wenye mvuto?? Nitashukuru sana kwa msaada wenu
nimepima kaka...niko fiti
...nimekupata. lakini huwa natumiaga kondom za high quality, na ninavaa mbili mbiliHujaulizwa majibu kaka!! kama ni Dau naweza kuweka! wewe ni mgonjwa!!!
Condom inazuia 80%. Do you know That!!
Every ***** you take!! you have a 20% chance of contacting HIV.
wewe ushabeba machangu wangapi?
pole sana kakaangu!! am just pitying you!!!
kwanini unajichimbia kaburi ukiona.
mzee ikifika wakati wa kuvishwa nepi utatesa wengi.
ukimwi upo!!!
ukimwi unauwa!!!
kaka bado tunahitaji Mchango wako hapa JF!
Badili tabia kakaaa!!
we still love you brother.
BEHAVIOR CHANGE IS POSIBLE!!!
Hakuna Entertainment nyingine unaweza ku enjoy?
If you Drink I can give you the best Comapny.
Tunapata tusker zetu mbili tatu huku tunawatania ma Bar maid. siku inapita.
Achana na machangu kaka ni nomaaa!
Huoni kinyaaa. yaani m2 ktoka ku**** in 10mins anakuja kwako na wewe unafakamia!!!
Kuna raha yoyote hapo kweli??
please please!! Brothers, Lets fight against this!!!
...nimekupata. lakini huwa natumiaga kondom za high quality, na ninavaa mbili mbili
Good advice, but bad use of stats here. You have 20% chance of the condom not working correctly, you also have to factor in the chance of your partner actually having HIV (7% in TZ but higher for prostitutes) and the chance of transmission actually occurring from that positive partner (around 1 in 500 if I recall). So the end "chance" of contracting HIV is much lower.Hujaulizwa majibu kaka!! kama ni Dau naweza kuweka! wewe ni mgonjwa!!!
Condom inazuia 80%. Do you know That!!
Every ***** you take!! you have a 20% chance of contacting HIV.
wewe ushabeba machangu wangapi?
pole sana kakaangu!! am just pitying you!!!
kwanini unajichimbia kaburi ukiona.
mzee ikifika wakati wa kuvishwa nepi utatesa wengi.
ukimwi upo!!!
ukimwi unauwa!!!
kaka bado tunahitaji Mchango wako hapa JF!
Badili tabia kakaaa!!
we still love you brother.
BEHAVIOR CHANGE IS POSIBLE!!!
Hakuna Entertainment nyingine unaweza ku enjoy?
If you Drink I can give you the best Comapny.
Tunapata tusker zetu mbili tatu huku tunawatania ma Bar maid. siku inapita.
Achana na machangu kaka ni nomaaa!
Huoni kinyaaa. yaani m2 ktoka ku**** in 10mins anakuja kwako na wewe unafakamia!!!
Kuna raha yoyote hapo kweli??
please please!! Brothers, Lets fight against this!!!
Noted with thanks BBhujasikia maneno yanayosema msiikaribie zinaa??
Kimbia dhambi, MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI.