sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Kuna taarifa, kuwa wafungwa wengi wanawake, waliohukumiwa vifungo, hapo kabla hawakuwa wajawazito, lkn kadri siku za kutumikia kifungo zikisogea wafungwa hao wanabebeshwa mimba na hatimaye kujifungua , jamani mnaojua hebu tuhabarisheni kunani paleeeeee........, nanyi Tamwa mko wapi.....?