Wana jukwaa nimekuwa nikifuatilia sana siasa za uchaguzi wa Tanzania Bara tangu zama na zama. Kitu ambacho nimekigundua hasa katika kampeni za mwaka huu ni kuwa mikutano ya ya kampeni ya Chama cha Wananchi, CUF na mgombea wao Prof LIPUMBA haipewi nafasi kabisa katika Television hiyo. Wanaopewa nafasi ni CCM(JK) na CHADEMA(WS). Kwa sasa ukitaka kujua habari za CUF inabidi uangalie TBC ambapo kwa maoni yangu hakuna upendeleo kabisa katikazama hizi za siasa. ANAEWEZA KULITOLEA MAELEZO YA KINA, TAFADHALI ANIONDOLEE DUKUDUKU HILI.