Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Maeneo ya Upanga, Sea View, Karibu na BP filling station kulikuwa na hoteli moja mashuhuri sana ikiitwa Ettiennes Hotel, ilivuma sana miaka ya 1970 na 1980.
Moja ya sifa zake ni historia nzuri sana katika ukombozi Kusini mwa Afrika.
Sasa hivi inaelekea kuwa ngofu na kwa jinsi Watanzania tulivyo" shake well before use" inaweza kupigwa nyundo na kupoteza historia yake.
Kitu gani kinaendelea hadi jengo hilo sasa kuwa gofu? Mwenye data atujuze.
Moja ya sifa zake ni historia nzuri sana katika ukombozi Kusini mwa Afrika.
Sasa hivi inaelekea kuwa ngofu na kwa jinsi Watanzania tulivyo" shake well before use" inaweza kupigwa nyundo na kupoteza historia yake.
Kitu gani kinaendelea hadi jengo hilo sasa kuwa gofu? Mwenye data atujuze.