kulikoni Ettiennes Hotel?

Ngambo Ngali

JF-Expert Member
Apr 17, 2009
3,517
1,360
Maeneo ya Upanga, Sea View, Karibu na BP filling station kulikuwa na hoteli moja mashuhuri sana ikiitwa Ettiennes Hotel, ilivuma sana miaka ya 1970 na 1980.

Moja ya sifa zake ni historia nzuri sana katika ukombozi Kusini mwa Afrika.

Sasa hivi inaelekea kuwa ngofu na kwa jinsi Watanzania tulivyo" shake well before use" inaweza kupigwa nyundo na kupoteza historia yake.

Kitu gani kinaendelea hadi jengo hilo sasa kuwa gofu? Mwenye data atujuze.
 
Maeneo ya Upanga, Sea View, Karibu na BP filling station kulikuwa na hoteli moja mashuhuri sana ikiitwa Ettiennes Hotel, ilivuma sana miaka ya 1970 na 1980.

Kitu gani kinaendelea hadi jengo hilo sasa kuwa gofu? Mwenye data atujuze.

Naona imenunuliwa na huyu jamaa hapa Chini...:A S tongue:

Teamo

JF Premium Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


Location: ZERO_PUB/ETIEENS/WHY NOT PUB/OCEANIC HOTEL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom