Huyu jamaa kakisa kwenda kikao cha AU, sasa anashindwa hata kuhost dhifa?Nimeshangazwa kidogo kwa kitendo cha Rais Dkt Magufuli kuwaandalia karamu ya kuukaribisha mwaka mpya, mabalozi na Maafisa wa kimataifa waliopo nchini na kisha yeye mwenyewe kumtuma waziri wake wa mambo ya nje kumwakilisha.
Kwa maoni yangu naamini hili ni kosa la kiufundi hasa ikizingatiwa kuwa Magufuli ndio ameanza tenure yake kama Raisi na hivyo angepaswa kutumia fursa hiyo kikamilifu ili kujenga taswira yake vema kimataifa kupitia kile anachokiamini na kusimamia.
Taarifa iliyorushwa na vyombo vya habari haikusema ni dharura gani aliyokuwa Mhe Rais ilihali yupo nchini.
Umeandika kinazi hueleweki,any way maalim anashindaga kweli uchaguzi tatizo anajulikana unafiki wake,toka issue ya jumbe ikaja uwazili kiongozi na cuf huko zanzibar ni chama chake,unaposema kila mpinzani apewe madaraka kivipi huelewekiVipi kila mpinzani apewe japo muda kidogo madarakani, au vipi! Hiyo si ndiyo demokrasia!!!
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Jinamizi la zanzibar linamuandama Pombe, juzi kati aligoma kwenda Addis Ababa leo kawaita wageni sebuleni kwake alafu yeye kajificha chumbani mpaka karamu ikaisha.
Mkuu wa nchi lugha za kigeni ni sifuri, yeye anajua salamu za makabila, kiswahili labda na kisukuma...mpenda sifa, teh!Nani amekuambia Mabalozi wote wa nchi za nje wanaongea lugha ya kiingereza?
Huyu jamaa hajaacha hii tabia ya tu kukimbia kimbia kila kitu. Namkumbuka shuleni alikuwa anakimbia midahalo hata ile ya Development Studies! Ndio maana hadi leo anajua yeye anajuaga ya kwamba Sadam ni Rais wa kuwait!
Mabalozi saizi yao ni Minister of foreign affairs na kamwe si raisi wa nchi. Wacha waisome namba.Nchi itatengwa siku si nyingi
yeye ndiye anayewashauri hao washauri....na sio yeye kushauriwaHapo kwa kweli hakuwatendea haki Mabalozi wnaowawakilisha nchi zao hapa nchini. Ni vyema washauri wake wakachukua nafasi ya kumshauri.
Wachina wangapi wanaokuja kwetu huku wakiongea lugha za kigeni?. Wengi wao wanakuja tena wawekezaji wakubwa lakini lugha za kimataifa hawajui kuzizunguma...Mkuu wa nchi lugha za kigeni ni sifuri, yeye anajua salamu za makabila, kiswahili labda na kisukuma...mpenda sifa, teh!
Nimeshangazwa kidogo kwa kitendo cha Rais Dkt Magufuli kuwaandalia karamu ya kuukaribisha mwaka mpya, mabalozi na Maafisa wa kimataifa waliopo nchini na kisha yeye mwenyewe kumtuma waziri wake wa mambo ya nje kumwakilisha.
Kwa maoni yangu naamini hili ni kosa la kiufundi hasa ikizingatiwa kuwa Magufuli ndio ameanza tenure yake kama Raisi na hivyo angepaswa kutumia fursa hiyo kikamilifu ili kujenga taswira yake vema kimataifa kupitia kile anachokiamini na kusimamia.
Taarifa iliyorushwa na vyombo vya habari haikusema ni dharura gani aliyokuwa Mhe Rais ilihali yupo nchini.
Vipi kama alipatwa na mafua?Nimeshangazwa kidogo kwa kitendo cha Rais Dkt Magufuli kuwaandalia karamu ya kuukaribisha mwaka mpya, mabalozi na Maafisa wa kimataifa waliopo nchini na kisha yeye mwenyewe kumtuma waziri wake wa mambo ya nje kumwakilisha.
Kwa maoni yangu naamini hili ni kosa la kiufundi hasa ikizingatiwa kuwa Magufuli ndio ameanza tenure yake kama Raisi na hivyo angepaswa kutumia fursa hiyo kikamilifu ili kujenga taswira yake vema kimataifa kupitia kile anachokiamini na kusimamia.
Taarifa iliyorushwa na vyombo vya habari haikusema ni dharura gani aliyokuwa Mhe Rais ilihali yupo nchini.
.....ameshaanza kuwaboa wazungu kwa ku limit movement za mabalozi wao humu nchini.....pia issue ya uchaguzi zenj itakula kwake kwa kiwango kikubwa....maana leo tu amesisitiza (kupitia kwa Maiga)kwamba suluhu ya zenj ni kurudiwa kwa uchaguzi tu....hapa tayari anacheza na moto vibaya....nimemwona yule mama balozi wa Norway akihamaki sana....JPM ana kazi kweli kweli....ameyataka mwenyewe...si wanasema hapa kazi tu!...kazi kweli wanayo.....Anabipu fire. Akiwaboa wazungu watapunguza misaada na kununua bidhaa zetu na kuleta watalii. Dola itakuwa ngumu kupatikana bei za vitu zitaongezeka maisha yatazidi kuwa magumu wananchi watazidisha chuki kwa ccm na serikali ya magufuli.
Kwani mkalimani hakuwepo?
Poor background of language make you think English is the only language used on international layers. Very sorry to read this.Sasa naanza kuamini lugha ya kiingereza ni tatizo kubwa kwa mkuu wa kaya. Na kwa vile sasa hivi yeye kusifiwa ni fashion anajua litakuwa gumzo la nchi. Anajua ni jinsi gani atawaangusha wale wote wanaomsifia tu.Hapo ndio siri ya urembo ua kutokusafiri ama kukutana na wanaotumia lugha ya malkia.
kujua kiingereza siyo kwamba ndiyo kuwa na IQ kubwa!!!! mbona hata vichaa wanajua kiingereza hats Malaya wanajua kiingereza hats mahousegirl wanajua kiingereza!!! wajerumani haitambui lugha ya kiingerrza lakini wana IQ kubwa mno hata waisrael wana IQ kubwa mno lakini hawajui kiingerezaPoor background of language make you think English is the only language used on international layers. Very sorry to read this.
Mkuu soma tena bandiko lako ujiridhishe na ulichosema!Siyo kosa kifikra kwa wale watu wanaoshangaa kwa nini Rais Magufuli hajaonekana kwenye karamu ya mabalozi wa nchi.
Tatizo mlijengewa fikra kuwa Rais ni kiongozi wa kuonekana onekana katika kila hafla hata zile ambazo madaraka yake amekasimu kwa watendaji wengine, ndiyo maana kulikuwa na foleni pale ikulu ya watu wenye matatizo ambao wametoka sehemu mbali mbali nchini wakati kuna watendaji waliokasimiwa kazi hizo katika maeneo wanayotoka.
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje ndiye amekasimiwa shughuri za Mabalozi.
Boss wa mabalozi wa nchi za nje wanaoziwakilisha nchi zao ni Waziri wa Mambo ya nchi za nje, Dkt. Mahiga.
Hata kazi za kupokea hati za utambulisho wa Mabalozi kutoka nchi za nje kimantiki haiwezi kufanywa na Rais. Hii ni kazi ya Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ambayo iko chini ya Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje.
Rais Magufuli anarudisha heshima ya kuwa Rais wa nchi.
Endelea kuwa mtumwa Wa lugha jivunie lugha yako.Kaogopa kuzungumza kizungu (kidhungu) a.k.a king'eng'e. Hii lugha ni sheeeedah kwa mheshimiwa huyu.