Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Habari zilizojiri hivi punde ni kwamba Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Bw. Robert Manumba amewasili wilayani Maswa. Habari zaidi zinadai kuwa Manumba yumo wilayani Maswa kwa ajili ya kusaidia upelelezi wa kifo cha aliyekuwa dereva wa mgombea ubunge jimboni humo kupitia CCM.
Hakuna kitu chochote duniani ambacho kinaweza kulinganishwa na uhai wa mtu. Lakini cha kushangaza iweje Manumba aende yeye mwenyewe huko Maswa wakati wapo wasaidizi wake katika mikoa na wilaya? Wakati wale watoto wanateketea kule Tabora au Temeke mbona hakwenda?? Wale wananchi waliouawa kule Ukerewe mbona hakwenda. Wale wananchi waliouawa Bweri, Musoma mbona hakwenda lakini Maswa ndo ameona kuna umuhimu wa yeye kama Mkurugenzi kwenda!!
Maswa kuna nini? Manumba hasitumie wakati huu kuwaadaha wananchi kuwa ni muwajibikaji sana. Kesi za fisadiz bado anazikalia....hana lolote zaidi ya kutaka ku-generate spin.
Zimebaki siku chache kubariki mabadiliko......HUSIDANGANYIKE.
Natoa pole kwa wafiwa.
Hakuna kitu chochote duniani ambacho kinaweza kulinganishwa na uhai wa mtu. Lakini cha kushangaza iweje Manumba aende yeye mwenyewe huko Maswa wakati wapo wasaidizi wake katika mikoa na wilaya? Wakati wale watoto wanateketea kule Tabora au Temeke mbona hakwenda?? Wale wananchi waliouawa kule Ukerewe mbona hakwenda. Wale wananchi waliouawa Bweri, Musoma mbona hakwenda lakini Maswa ndo ameona kuna umuhimu wa yeye kama Mkurugenzi kwenda!!
Maswa kuna nini? Manumba hasitumie wakati huu kuwaadaha wananchi kuwa ni muwajibikaji sana. Kesi za fisadiz bado anazikalia....hana lolote zaidi ya kutaka ku-generate spin.
Zimebaki siku chache kubariki mabadiliko......HUSIDANGANYIKE.
Natoa pole kwa wafiwa.