Elections 2010 Kulikoni DCI Robert Manumba!!

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,950
711
Habari zilizojiri hivi punde ni kwamba Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Bw. Robert Manumba amewasili wilayani Maswa. Habari zaidi zinadai kuwa Manumba yumo wilayani Maswa kwa ajili ya kusaidia upelelezi wa kifo cha aliyekuwa dereva wa mgombea ubunge jimboni humo kupitia CCM.

Hakuna kitu chochote duniani ambacho kinaweza kulinganishwa na uhai wa mtu. Lakini cha kushangaza iweje Manumba aende yeye mwenyewe huko Maswa wakati wapo wasaidizi wake katika mikoa na wilaya? Wakati wale watoto wanateketea kule Tabora au Temeke mbona hakwenda?? Wale wananchi waliouawa kule Ukerewe mbona hakwenda. Wale wananchi waliouawa Bweri, Musoma mbona hakwenda lakini Maswa ndo ameona kuna umuhimu wa yeye kama Mkurugenzi kwenda!!

Maswa kuna nini? Manumba hasitumie wakati huu kuwaadaha wananchi kuwa ni muwajibikaji sana. Kesi za fisadiz bado anazikalia....hana lolote zaidi ya kutaka ku-generate spin.

Zimebaki siku chache kubariki mabadiliko......HUSIDANGANYIKE.

Natoa pole kwa wafiwa.
 
This country bwana, inatia kichefu chefu sasa. Anyway ngoja tuone kama haki itatendeka na safari hii wasukuma wamechoka kugeuzwa mtaji kwa ccm.
 
Hii ni picha halisi ya tawala zisizo makini zinavyoendesha mambo yao, na sasa wameshaset precedent, God forbid lakini ikitokea say washabiki wa CHADEMA Aruusha wameuwawa na wale wa CCM je Batilda atawekwa ndani????
 
haya ndio anayoyapinga Slaa, kila mtu kateuliwa na Rais, na mwisho wa siku mtu anafanya kazi kumridhisha aliyemteua
 
naskia kuna delegate kubwa sana ya CCM inataka kutumia msiba huo kushinda uchaguzi... at any cost
 
Habari zilizojiri hivi punde ni kwamba Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Bw. Robert Manumba amewasili wilayani Maswa. Habari zaidi zinadai kuwa Manumba yumo wilayani Maswa kwa ajili ya kusaidia upelelezi wa kifo cha aliyekuwa dereva wa mgombea ubunge jimboni humo kupitia CCM.

Hakuna kitu chochote duniani ambacho kinaweza kulinganishwa na uhai wa mtu. Lakini cha kushangaza iweje Manumba aende yeye mwenyewe huko Maswa wakati wapo wasaidizi wake katika mikoa na wilaya? Wakati wale watoto wanateketea kule Tabora au Temeke mbona hakwenda?? Wale wananchi waliouawa kule Ukerewe mbona hakwenda. Wale wananchi waliouawa Bweri, Musoma mbona hakwenda lakini Maswa ndo ameona kuna umuhimu wa yeye kama Mkurugenzi kwenda!!

Maswa kuna nini? Manumba hasitumie wakati huu kuwaadaha wananchi kuwa ni muwajibikaji sana. Kesi za fisadiz bado anazikalia....hana lolote zaidi ya kutaka ku-generate spin.

Zimebaki siku chache kubariki mabadiliko......HUSIDANGANYIKE.

Natoa pole kwa wafiwa.

.
Usanii wa serikali ya Jk umekaribia ukingoni. Waache tuwapumzishe kwa amani.
 
Kwa hiyo SHIBUDA alitoa mari ya kumuuwa yule kijana?
Hii nchi bana veri veri unwell
 
naskia kuna delegate kubwa sana ya CCM inataka kutumia msiba huo kushinda uchaguzi... at any cost
usikute na mkulu au makamba au kinana au hata RIZ1 wapo kule kuwin vote za wanaccm wenzao. maana nazo hizo watazikosa
 
naskia kuna delegate kubwa sana ya CCM inataka kutumia msiba huo kushinda uchaguzi... at any cost

Naamini wananchi sasa hivi wanaelewa kuwa CCM wanatafuta opportunity. Tutasikia magunia ya mchele yamepelekwa huko.
Nasisitiza, uhai wa mtu hauwezi kulinganishwa na kitu chochote duniani, lakini CCM wanatakiwa kuwa makini sana na hizi spin za kudanganyia ili kupata kura.
 
Habari zilizojiri hivi punde ni kwamba Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Bw. Robert Manumba amewasili wilayani Maswa. Habari zaidi zinadai kuwa Manumba yumo wilayani Maswa kwa ajili ya kusaidia upelelezi wa kifo cha aliyekuwa dereva wa mgombea ubunge jimboni humo kupitia CCM.

Hakuna kitu chochote duniani ambacho kinaweza kulinganishwa na uhai wa mtu. Lakini cha kushangaza iweje Manumba aende yeye mwenyewe huko Maswa wakati wapo wasaidizi wake katika mikoa na wilaya? Wakati wale watoto wanateketea kule Tabora au Temeke mbona hakwenda?? Wale wananchi waliouawa kule Ukerewe mbona hakwenda. Wale wananchi waliouawa Bweri, Musoma mbona hakwenda lakini Maswa ndo ameona kuna umuhimu wa yeye kama Mkurugenzi kwenda!!


Kwa wale wananchi waliouawa na majambazi Ukerewe DCI alikwenda naomba kuiweka sawa hii

Lakini kilichompeleka huku ni kuona namna gani watamuunganisha Shibuda kwenye mashitaka ya Uongo, lengo likiwa ni kumsaidia Robert Simon Kisena ambaye rafiki mkubwa wa Ridhiwani wakidhani kufanya hivyo kutamsaidia ashinde. Maswa watamchagua Shibuda ahata akiwa Gerezani.
 
This country bwana, inatia kichefu chefu sasa. Anyway ngoja tuone kama haki itatendeka na safari hii wasukuma wamechoka kugeuzwa mtaji kwa ccm.

kweli gete nkoi.

yani duli na mazahabhu, ma-alimasi lakini dulibhahabhi guti mva?

nibhuli?

mokono bhagudumana duhu.
 
usikute na mkulu au makamba au kinana au hata RIZ1 wapo kule kuwin vote za wanaccm wenzao. maana nazo hizo watazikosa

Makamba alienda juzi kule baada tu ya kusikia mwana-CCM ameuawa. Alionyeshwa juzi
 
Labda ameenda kuangalia ule mtama aliopigwa OCD Nduguru na mgombea wa CCM, Robert Simon Kusena unafaa kufungulia mashtaka!
 
Back
Top Bottom