Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
tunahitaji mtafisiri wa ndoto hapa leo....
Nikaona landrover zinapita kwa kasi za kijeshiii.........................
Nikaona Mabomu yakiruka juu huku wakina mama na watoto wakihahaha...............
Nikaona watu walivalia vitambaa usoni na ma rocket njema wakilipua magorofa makubwa ya posta likiwemo la bank kuu, na PPF tower.....
Nikaona shule moja ikilipuliwa moto............
Nikaona wanajeshi viongozi wakuu wakiwa wameuawa kiholela mabarabarani.........
Nikaona magari ya UN yakiwa yanapita ubungo.......yakiwa na askari wa kulinda usalama...
Nikaona vyombo vya habari vikiwa vinatoa historia ya Tanzania kwenye screen moja kubwa kwenye hotel moja.....radio na television zetu zilikuwa haziongei tulikuwa hatujui nini kinachoendelee......................
Nikaona pick up ya jeshi ikitangaza nchi imepinduliwa na watu wakawa wanashangilia mitaani kama mpira.........
Nikaona ikulu ikiwa inawaka moto............
sikumuona rais wetu...........................................
Niliogopa nikaogopa sana kwani niliyoyaona yanatia huruma, wanawake walifanyiwa unyama mkubwa kwani walibakwa hadharani......
Eeeh Mungu epusha hiyo hali na Wapendwa ombeni .
sasa ukatubu vinginevyo utapata ajali ya gariKuna roho na pepo..hili lako ni pepo!
sasa ukatubu vinginevyo utapata ajali ya gari
Nikaona landrover zinapita kwa kasi za kijeshiii......................
...............kwa mara ya kwanza jeshi waliingia kutuliza vurugu nikiwa na ufahamu.....
Nikaona Mabomu yakiruka juu huku wakina mama na watoto wakihahaha...............
................hakika wakinamama walihangaika siku ya jana............
Nikaona watu walivalia vitambaa usoni na ma rocket njema wakilipua magorofa makubwa ya posta likiwemo la bank kuu, na PPF tower.....
Mungu alizuia lisitokee japo wanao valia vitambaa usoni wanajulikana...........
Nikaona shule moja ikilipuliwa moto............
[h=5]Ashura Kayupayupa
[/h][h=5]?#BewareThisFriday
"We have been made aware of possible demonstrations today after prayers in the Chang'ombe and Mbagala areas and we have also heard that the demonstrators are targeting christian schools. Whilst we hope this is not the case we do have to advise you of these matters." From a credible source
[/h]Makanisa yamechomwa pia hizi ni shule za jumapili na kuabudia..............
Nikaona wanajeshi viongozi wakuu wakiwa wameuawa kiholela mabarabarani.........
Nikaona magari ya UN yakiwa yanapita ubungo.......yakiwa na askari wa kulinda usalama...
Mungu alizuia lisitokee kwani wale makomando hawakuweza kuingia ikulu walizuiwa na usalama wa taifa.
Nikaona vyombo vya habari vikiwa vinatoa historia ya Tanzania kwenye screen moja kubwa kwenye hotel moja.....radio na television zetu zilikuwa haziongei tulikuwa hatujui nini kinachoendelee......................
HAKIKA TBC amabayo ni ya wananchi haikutangaza ............
Nikaona pick up ya jeshi ikitangaza nchi imepinduliwa na watu wakawa wanashangilia mitaani kama mpira.........
Mungu alizuia lisitokee
Nikaona ikulu ikiwa inawaka moto............
..........ulikuwa kwenye ulimwengu wa roho za kishetani.