Kuliko vita niliyoiona katika ulimwengu wa roho bora CCM itawale milele:

kwa hiyo hayo maono yameitaja CDM?? ua CCM?? mbona sioni maana ya kichwa cha habari na habari yenyewe??
 
Nikaona landrover zinapita kwa kasi za kijeshiii.........................

Nikaona Mabomu yakiruka juu huku wakina mama na watoto wakihahaha...............

Nikaona watu walivalia vitambaa usoni na ma rocket njema wakilipua magorofa makubwa ya posta likiwemo la bank kuu, na PPF tower.....

Nikaona shule moja ikilipuliwa moto............

Nikaona wanajeshi viongozi wakuu wakiwa wameuawa kiholela mabarabarani.........

Nikaona magari ya UN yakiwa yanapita ubungo.......yakiwa na askari wa kulinda usalama...

Nikaona vyombo vya habari vikiwa vinatoa historia ya Tanzania kwenye screen moja kubwa kwenye hotel moja.....radio na television zetu zilikuwa haziongei tulikuwa hatujui nini kinachoendelee......................

Nikaona pick up ya jeshi ikitangaza nchi imepinduliwa na watu wakawa wanashangilia mitaani kama mpira.........

Nikaona ikulu ikiwa inawaka moto............

sikumuona rais wetu...........................................

Niliogopa nikaogopa sana kwani niliyoyaona yanatia huruma, wanawake walifanyiwa unyama mkubwa kwani walibakwa hadharani......

Eeeh Mungu epusha hiyo hali na Wapendwa ombeni .

Hizi ni dalili za kula Maharage wakati unaenda kulala,Hivyo Mwanaharakatihuru jizoeze kuacha kula Maharage hasa wakati unapokwenda kulala,ila kama wewe ndiye yule Mchungaji wa CUF basi uache kujifanya utaharibikiwa bure,CHUNGA TAMAA MBAYA.
 
Biblia inasema ndoto huja baada ya shughuli nyingi kula sana mwenzetu alishiba ndiyo analeta hizo ndoto hapa.
 
Nikaona landrover zinapita kwa kasi za kijeshiii.........................

Nikaona Mabomu yakiruka juu huku wakina mama na watoto wakihahaha...............

Nikaona watu walivalia vitambaa usoni na ma rocket njema wakilipua magorofa makubwa ya posta likiwemo la bank kuu, na PPF tower.....

Nikaona shule moja ikilipuliwa moto............

Nikaona wanajeshi viongozi wakuu wakiwa wameuawa kiholela mabarabarani.........

Nikaona magari ya UN yakiwa yanapita ubungo.......yakiwa na askari wa kulinda usalama...

Nikaona vyombo vya habari vikiwa vinatoa historia ya Tanzania kwenye screen moja kubwa kwenye hotel moja.....radio na television zetu zilikuwa haziongei tulikuwa hatujui nini kinachoendelee......................

Nikaona pick up ya jeshi ikitangaza nchi imepinduliwa na watu wakawa wanashangilia mitaani kama mpira.........

Nikaona ikulu ikiwa inawaka moto............

sikumuona rais wetu...........................................

Niliogopa nikaogopa sana kwani niliyoyaona yanatia huruma, wanawake walifanyiwa unyama mkubwa kwani walibakwa hadharani......

Eeeh Mungu epusha hiyo hali na Wapendwa ombeni .



umemwaga chakula cha watoto kwa nguruwe bure,uliambiwa ccm ndo suluhisho la maono hyo?utafakari kama kweli ulipaswa kuleta mambo hayo hapa JF,ulipasa kuomba na kupata ufumbuzi wa maono hayo kuwa nini kifanyike ili kunusuru nchi,wala suluhisho si ccm,
 
Nikaona landrover zinapita kwa kasi za kijeshiii.........................

Nikaona Mabomu yakiruka juu huku wakina mama na watoto wakihahaha...............

Nikaona watu walivalia vitambaa usoni na ma rocket njema wakilipua magorofa makubwa ya posta likiwemo la bank kuu, na PPF tower.....

Nikaona shule moja ikilipuliwa moto............

Nikaona wanajeshi viongozi wakuu wakiwa wameuawa kiholela mabarabarani.........

Nikaona magari ya UN yakiwa yanapita ubungo.......yakiwa na askari wa kulinda usalama...

Nikaona vyombo vya habari vikiwa vinatoa historia ya Tanzania kwenye screen moja kubwa kwenye hotel moja.....radio na television zetu zilikuwa haziongei tulikuwa hatujui nini kinachoendelee......................

Nikaona pick up ya jeshi ikitangaza nchi imepinduliwa na watu wakawa wanashangilia mitaani kama mpira.........

Nikaona ikulu ikiwa inawaka moto............

sikumuona rais wetu...........................................

Niliogopa nikaogopa sana kwani niliyoyaona yanatia huruma, wanawake walifanyiwa unyama mkubwa kwani walibakwa hadharani......

Eeeh Mungu epusha hiyo hali na Wapendwa ombeni .

Propaganda machinery! Pole!
 
mleta mada uko sawa kabisa na ndoto zako kwani wafuasi wote wa CCM wanakosa usingizi kazi kuwaza namna ya kupenya 2015 lakini wengi wao wanaona suluisho ni vita tu mifano dhahiri angalia mauaji ya polisisiemu utagundua sio wewe pekee mwenye ndoto izo!
 
Nikaona landrover zinapita kwa kasi za kijeshiii.........................

Nikaona Mabomu yakiruka juu huku wakina mama na watoto wakihahaha...............

Nikaona watu walivalia vitambaa usoni na ma rocket njema wakilipua magorofa makubwa ya posta likiwemo la bank kuu, na PPF tower.....

Nikaona shule moja ikilipuliwa moto............

Nikaona wanajeshi viongozi wakuu wakiwa wameuawa kiholela mabarabarani.........

Nikaona magari ya UN yakiwa yanapita ubungo.......yakiwa na askari wa kulinda usalama...

Nikaona vyombo vya habari vikiwa vinatoa historia ya Tanzania kwenye screen moja kubwa kwenye hotel moja.....radio na television zetu zilikuwa haziongei tulikuwa hatujui nini kinachoendelee......................

Nikaona pick up ya jeshi ikitangaza nchi imepinduliwa na watu wakawa wanashangilia mitaani kama mpira.........

Nikaona ikulu ikiwa inawaka moto............

sikumuona rais wetu...........................................

Niliogopa nikaogopa sana kwani niliyoyaona yanatia huruma, wanawake walifanyiwa unyama mkubwa kwani walibakwa hadharani......

Eeeh Mungu epusha hiyo hali na Wapendwa ombeni .

wala hujaota, ila kitu kimoja umechanganya, sio daresalaam ni darful wanaonyesha cnn na aljazeera, so kama wew ni mtu wa kuogopa usipende sana kuangalia thrilling visual nite tym utakuwa unaota kila siku matokeo yake utaogopa hata kivuli chako. Mwisho: acha kupigia debe magamba
 
umemwaga chakula cha watoto kwa nguruwe bure,uliambiwa ccm ndo suluhisho la maono hyo?utafakari kama kweli ulipaswa kuleta mambo hayo hapa JF,ulipasa kuomba na kupata ufumbuzi wa maono hayo kuwa nini kifanyike ili kunusuru nchi,wala suluhisho si ccm,

hata asikuchoshe bure, just low&cheap propaganda eti anatu blackmail, to hell u and ur poor vision
 
Huyu ***** mshamba wa sinema,kakurupuka alafu analeta upumbavu wake hapa.inaonekana ni mara yake ya kwanza kuangalia sinema za namna hiyo.sasa akiangalia za yule jamaa anashika mijinyoka porini si atakimbilia chumba cha watoto.pumbaf
 
Nikaona landrover zinapita kwa kasi za kijeshiii.........................

Nikaona Mabomu yakiruka juu huku wakina mama na watoto wakihahaha...............

Nikaona watu walivalia vitambaa usoni na ma rocket njema wakilipua magorofa makubwa ya posta likiwemo la bank kuu, na PPF tower.....

Nikaona shule moja ikilipuliwa moto............

Nikaona wanajeshi viongozi wakuu wakiwa wameuawa kiholela mabarabarani.........

Nikaona magari ya UN yakiwa yanapita ubungo.......yakiwa na askari wa kulinda usalama...

Nikaona vyombo vya habari vikiwa vinatoa historia ya Tanzania kwenye screen moja kubwa kwenye hotel moja.....radio na television zetu zilikuwa haziongei tulikuwa hatujui nini kinachoendelee......................

Nikaona pick up ya jeshi ikitangaza nchi imepinduliwa na watu wakawa wanashangilia mitaani kama mpira.........

Nikaona ikulu ikiwa inawaka moto............

sikumuona rais wetu...........................................

Niliogopa nikaogopa sana kwani niliyoyaona yanatia huruma, wanawake walifanyiwa unyama mkubwa kwani walibakwa hadharani......

Eeeh Mungu epusha hiyo hali na Wapendwa ombeni .
Mkuu wahi haraka sana hospitali upate matibabu,malaria imepanda kichwani hiyo.
Kuota maluweluwe ndo dalili zake hizo.
 
Nikaona landrover zinapita kwa kasi za kijeshiii.........................

Nikaona Mabomu yakiruka juu huku wakina mama na watoto wakihahaha...............


Nikaona watu walivalia vitambaa usoni na ma rocket njema wakilipua magorofa makubwa ya posta likiwemo la bank kuu, na PPF tower.....

Nikaona shule moja ikilipuliwa moto............

Nikaona wanajeshi viongozi wakuu wakiwa wameuawa kiholela mabarabarani.........

Nikaona magari ya UN yakiwa yanapita ubungo.......yakiwa na askari wa kulinda usalama...

Nikaona vyombo vya habari vikiwa vinatoa historia ya Tanzania kwenye screen moja kubwa kwenye hotel moja.....radio na television zetu zilikuwa haziongei tulikuwa hatujui nini kinacho
endelee......................


Epuka kuhusishanisha ndoto Za mchana au fikra na ulimwengu wa roho una tofauti na kova aliyedanganya kuhusu mkenya feki
 
Nikaona landrover zinapita kwa kasi za kijeshiii.........................

Nikaona Mabomu yakiruka juu huku wakina mama na watoto wakihahaha...............

Nikaona watu walivalia vitambaa usoni na ma rocket njema wakilipua magorofa makubwa ya posta likiwemo la bank kuu, na PPF tower.....

Nikaona shule moja ikilipuliwa moto............

Nikaona wanajeshi viongozi wakuu wakiwa wameuawa kiholela mabarabarani.........

Nikaona magari ya UN yakiwa yanapita ubungo.......yakiwa na askari wa kulinda usalama...

Nikaona vyombo vya habari vikiwa vinatoa historia ya Tanzania kwenye screen moja kubwa kwenye hotel moja.....radio na television zetu zilikuwa haziongei tulikuwa hatujui nini kinachoendelee......................

Nikaona pick up ya jeshi ikitangaza nchi imepinduliwa na watu wakawa wanashangilia mitaani kama mpira.........

Nikaona ikulu ikiwa inawaka moto............

sikumuona rais wetu...........................................

Niliogopa nikaogopa sana kwani niliyoyaona yanatia huruma, wanawake walifanyiwa unyama mkubwa kwani walibakwa hadharani......

Eeeh Mungu epusha hiyo hali na Wapendwa ombeni .

.
Kama Bwana Yesu angeliuogopa msalaba wa Kalvari tusingekombolewa. Na maneno yake yangekuwa hivi ''Ni afadhali shetani aendelee kuwamiliki milele kuliko kukabiliana na aibu ya msalaba''
.
 
Achana na mambo hayo, mdau kama hutaki kujua au kufahahamu ukweli, Maswali kwako ni Je umewahi kuwa mwana usalama? Na kama ndiyo ulijifunza nini kuhusu propganda,? Na kama bado huwezi kujiita mwanaharakati, naoomba ujiite muumini. Nawasilisha
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom