Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Nasikia kuna baadhi ya minjemba ikimpa ofa mwanamke, inamwekea kiujanja mkojo ndani ya kinywaji anywacho (mostly kwenye vileo). Baada ya hapo binti anakuwa taabani na jamaa anatumia fursa hiyo kumtenda binti chochote atakacho, maana anakuwa kalewa hajitambui.
Pia nasikia kuna club moja maarufu jijini Dsm pande za O bay, wahudumu wake wakikushtukia kuwa una noti nene wanakuwekea mkojo kwenye bia kisha wanakuibia vyote ulivyonavyo.
Je wewe ni kipi ulichokisikia utujulishe?
Pia nasikia kuna club moja maarufu jijini Dsm pande za O bay, wahudumu wake wakikushtukia kuwa una noti nene wanakuwekea mkojo kwenye bia kisha wanakuibia vyote ulivyonavyo.
Je wewe ni kipi ulichokisikia utujulishe?