Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #21
pole sana.
Akitaka kurudi chunguza,si ajabu anarudia wallet yako!
wallet sidhani zaidi nionavyo ni ukigeugeu.......kushindwa kutafakari anahitaji nini...........
pole sana.
Akitaka kurudi chunguza,si ajabu anarudia wallet yako!
Wasohaya wana mji wao, wapo wengine wanaongea mbovu na kujiapiza sirudi katu sirudi,mara ghafla bin vuu unamuona kama sio yeye wala aibu haoni na samahani fake kwa wingi........
haya mambo bana
ngoja tu nipite
wadizaini hurudi kwa excuse nyingi,kwa magoti huku chozi likimtiririka
Ni sahihi kutegemeana na nini kiliwafikisha kwenye kutapishana kabla, kuna hasira, kuna kuwa mis-informed, kuna tamaa...wakati mwingine kama nafasi ya kujirudi ipo, si vibaya ukiyalamba matapishi yako,kwa mustakabali wa furaha na amani yako ya maisha yajayo.
.................... nimegundua niliteleza.................now I'm back with a purpose
Dena ulipotelewa wapi nilikuwa ninaanda makala ya kutangaza obituay yako......afadhali umeniwahi.................akipata nitashukuru sana kwa sababu furaha ya mvuvi ni kuvuja kwa pakacha..................
Ruta jibu sahihi ni hili, now I'm back with a purpose. Malengo hayo ndiyo yaliyomfanya alambe matapishi. Mkuu umeshatagatiwa.
Nipo nimejaa tele majukumu yamezidi sana si unajua tunashinda kutafuta ugali.....................
Kama ni ugali ndiyo unakuweka mbali nami basi mwaka huu niandike nimeumia kwa sababu kazi ya kuutafuta ugali 2012.........itakuwa mauzauza tupu....................................
Mzee wa Rula...............isije ikawa ni ule usemi usemao................."mcagua jembe siyo mkulima......" ninafikiri hapo ni kulilima shamba mara ya pili.......................kinginecho ni kiswahili tu...............tu bora liende
Ha ha ha ha wewe bana si tunawasiliana kwa njia nyingi si lazima hapa my dear???? Mwaka 2012 kweli ni balaa maana mambo si mambo
Mkuu lazima uwe na uchaguzi, achana na shamba hilo litakuwa lilijiona linarutuba sana kumbe ni si lolote wala chochote. Anza safari nyingine upya ikibidi.
Hivi ni sahihi kweli ukamtapika mtu jana ukidai mapigo hayakujitosheleza au haniridhishi au sikuridhika naye.........halafu kesho ukadai umesikia hamu ya kulamba matapishi yako mwenyewe....................kisingizio huwa.............ni..........no love lost....................au nimegundua niliteleza.................now I'm back with a purpose
Ukila yakirudi juu?
I prefer letting the past be the past, kuna sababu iliyofanya ukaachana na huyo mtu in the first place, na ukirudiana na kuna nafasi ya kilichowakorofisha kuwakorofisha tena.
Pole mkuu RUTA...unajua hayo mambo ya kutapika na kurudi kulamba wakati mwingine ni hasira inachafua hali ya hewa...mtu anatapika...sasa hali ikiwa shwari kichefuchefu kikiisha anajilaumu kutapika hivyo unamlazimu kurudi na kulamba. ila kuna wanapika for good. Sababu zikiwa za msingi na zenye mashiko kwa upande zote basi hakuna kurudia matapishiiiii