dry seaman
New Member
- Oct 27, 2010
- 4
- 0
mkuu naomba kuwasilisha,hivi ni kwanini kila mtu analalamika tu?prezida analalamika...... pm...... waziri wa..... katibu mkuu...... mkurugenzi wizarani......mkuu wa mkoa.....mkuu wa wilaya....... mkurugenzi wa jiji....wa mji.....wakuu wa vyuo.....walimu....wanafunzi....
wote hawa wanalalamika juu ya maisha duni kwa watanzania hivi ni nani hasa atakuja na majibu sahihi ya utatuzi?
wote hawa wanalalamika juu ya maisha duni kwa watanzania hivi ni nani hasa atakuja na majibu sahihi ya utatuzi?