Kulala chali huku kunamainisha nini ?

Spear

JF-Expert Member
Jun 21, 2008
507
28
article-1347414-0CC59ACD000005DC-363_468x370.jpg
 
Apa hawa vijana walio lala chini wanasimikwa kuwa mapadre.kulala huku chini kuna maanisha ya kuwa wanaifia Dunia na kumfata Yesu Kristo.So wanaiacha dunia na matamanio yake yote for Jesus
 
Wanajiweka wakfu kwamba wanamtumikia Mungu na kazi yake. Naamini hapo kawaida kuna nyimbo maalumu zinazoimbwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom