Back to human senses! Hilo la Mrema kidogo umepotoka. Ana matatizo ya ki-afya na huwa tunatoa pole badala ya kushangilia.
lala salama , afadhali Mrema anawadipu wapiga kura wakeAs usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.
Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look
At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health